UPDATE 1:
Confirmed Freetown ataondoka leo huko ughaibuni mwendo wa saa 6 usiku ambapo itakuwa ni saa 10.za alfajiri kwa huko anakoishi, na anatarajiwa kuwasili JNIA mwendo wa saa 7.00mchana kwa ndege ya shirika la QATAR AIRWAYS.
Pole sana rafiki yetu Freetown....Mungu akutangulie katika safari yako huko utokapo uweze kufika salama.....ni msiba unaouma sana lakini Mungu atakupa nguvu.... RIP Mrs Freetown
aksante mkuu.
Kwa mulio Dar, kama si shida ya foleni mnge'rush fasta pale JNIA kesho(11/02/2011) saa 7 MCHANA, then mngekaa nae hadi saa 11jioni akiwa anajiandaa kuondoka na PW ya saa 12 jion kuja KIA. @
Kama kuna watakaokuwa interested tutawapa namba yake ya cmu.
UPDATE 3:
Mazishi ya shemeji yetu yatafanyika huko Njombe-IRINGA, ambako ndiko nyumbani kwao Ftown, na hata shemeji ye2 pia.
Uwezekano wa kuanza safari huku Arusha kuelekea makazi ya kudumu ya marehemu ni siku ya Jumamosi, au juma2.
UPDATE 3:
Mazishi ya shemeji yetu yatafanyika huko Njombe-IRINGA, ambako ndiko nyumbani kwao Ftown, na hata shemeji ye2 pia.
Uwezekano wa kuanza safari huku Arusha kuelekea makazi ya kudumu ya marehemu ni siku ya Jumamosi, au juma2.
Mungu wangu!nimeshtuka karibia kutoa machozi.moyo umeniuma aisee,mara ya mwisho kuonana na Freetown alinionyesha picha za familia yake wakiwa na furaha sana.nimeumia sana,na namuomba Mungu ampe FT moyo wa subra na ailaze pema roho ya marehemu .Amen
aksante mkuu.
Kwa mulio Dar, kama si shida ya foleni mnge'rush fasta pale JNIA kesho saa 7 MCHANA, then mngekaa nae hadi saa 11jioni akiwa anajiandaa kuondoka na PW ya saa 12 jion kuja KIA. @
Kama kuna watakaokuwa interested tutawapa namba yake ya cmu.
Nawashukuru wote mlio nami katika wakati huu mgumu sana kwangu, nawashukuru sana, PJ flight yangu itachelewa kwa two hours hivyo sitawahi connection, nitalala Doha-Qatar. nitaingia Dar ijumaa saa saba na nusu kwa mapenzi ya Mungu.
UPDATE 3:
Mazishi ya shemeji yetu yatafanyika huko Njombe-IRINGA, ambako ndiko nyumbani kwao Ftown, na hata shemeji ye2 pia.
Uwezekano wa kuanza safari huku Arusha kuelekea makazi ya kudumu ya marehemu ni siku ya Jumamosi, au juma2.