Ooooh!
Too bad!...na inasikitisha!
Basi wewe una kumbukumbu mpya zaidi ya huyu mana, na yapasa umwombee ili akapumzike mahala pa salama!
Bro nadhani itakuwa vizuri sisi member wa Arusha tukajipanga siku hiyo tukaondoka wote kuelekea Usa River.
Ooooh!
Too bad!...na inasikitisha!
Basi wewe una kumbukumbu mpya zaidi ya huyu mana, na yapasa umwombee ili akapumzike mahala pa salama!
Msindima usiogope tutaweka hadharani mambo yote, na tutashiriki kwa hadhi inayopasa. We kumbuka kuacha simu hewani-basi!Bro nadhani itakuwa vizuri sisi member wa Arusha tukajipanga siku hiyo tukaondoka wote kuelekea Usa River.
Tupo pamoja kamanda! R.I.P shem!!Update;
Ni kwamba bahati mbaya Freetown hakupata ndege ya asubuhi kutoka doha to Dar. badala yake amepata ndege ya saa tano ambayo inafika Dar saa kumi na moja jioni. Saa kumi na mbili ataunganisha Precision to KIA. Wale wa Arusha we can join kumpokea saa moja na nusu usiku. Jumamosi kutakuwa na final respect pale nyumbani kwake kuanzia saa sita mchana (mabadiliko yoyote tutataarifiana) kabla ya kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Njombe - Iringa kwa Mazishi. Nadhani Kimey utakuwa mwenyeji wetu huko Iringa.
Msindima usiogope tutaweka hadharani mambo yote, na tutashiriki kwa hadhi inayopasa. We kumbuka kuacha simu hewani-basi!
Sahara, information hii ni muhimu sana, na ni update ya muhimu.Update;
Ni kwamba bahati mbaya Freetown hakupata ndege ya asubuhi kutoka doha to Dar. badala yake amepata ndege ya saa tano ambayo inafika Dar saa kumi na moja jioni. Saa kumi na mbili ataunganisha Precision to KIA. Wale wa Arusha we can join kumpokea saa moja na nusu usiku. Jumamosi kutakuwa na final respect pale nyumbani kwake kuanzia saa sita mchana (mabadiliko yoyote tutataarifiana) kabla ya kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Njombe - Iringa kwa Mazishi. Nadhani Kimey utakuwa mwenyeji wetu huko Iringa.
The best update ever read in JF.....kudos.....
UPDATE 1:
FreeTown ameondoka usiku wa saa 7.30 mahala anapoishi kuelekea DOHA-QATAR,ambako likuwa aondoke saa 10.00usiku waleo(11/2/2011), lakini bahati mbaya flight aliyoondoka nayo anakoishi imechelewa kwa masaa mawili, hivyo hakuweza kuunganisha connection ya QATAR-AIRWAYS usiku wa leo, NA HIVYO ATALAZIMIKA KULALA HAPO QATAR na leo usiku ndipo atasafiri kwa shirika hilohilo na atafika Dar-JNIA kesho(Ijumaa) saa 7.mchana, na atakuwepo uwanjani hadi saa 12.00jioni, ambapo ndio atapanda Precision Air kuja KIA.
UPDATE 2:
Mulioko Dar mna nafasi kubwa ya kuonana na FT hapo JNIA kesho, maana atakuwepo hapo kwa more than 4 hrs kabla ya kuja Arusha, hivyo kwa watakaopenda kumtafuta tutawapa contact yake mumpate kirahisi.
UPDATE 3:
Marehemu Mrs FT atasafirishwa siku kati ya Jmosi au J'pili kutoka Arusha kuelekea Njombe Iringa, ambako ndiko Domicile Place ya couple hii...
UPDATE 4:
Kesho JUMAMOSI kuanzia saa 3.oo asubuhi IBADA RASMI ya kumwaga marehemu mrs FT itaanza pale nyumbani kwake UsaRiver....NA BAADA ya IBADA hiyo, safari rasmi itaanza saa 7.00 kuelekea IRINGA kwaajili ya kumpumzisha marehemu...na msafafara utawasili huko Jumapili Alfajiri.
Mazishi yatafanyika JUMAPILI,(hakuna kizuizi kwa mujibu wa madhehebu ya Kiluther),na gari iliyopeleka mwili wa marehemu itageuza siku hiyohiyo ya Jumapili jioni!