Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Chuma
Bendera ni ishara ya taifa na tumeweka viwango ambavyo binadamu wanaweza kubishana bila kupigana. Unapofika kuweka dhihaka kwenye bendera, ngao na nyimbo za mataifa mbali mbali basi wewe unakuwa punguani. Kuna standards ambazo tumejiwekea ambazo kama huzifuati basi wewe unakuwa na kasoro.
Hili lipo hata kwenye elimu standards zinawekwa na baadaye zinafuatwa, kama huwezi kulielewa hili ni sawa na kurudi katika karne za nyuma na kuanza kuvaa nyasi au magamba ya miti.
USTAARABU NI KITU CHA BURE LAKINI GHARAMA YAKE NI KUBWA.
Bendera ni ishara ya taifa na tumeweka viwango ambavyo binadamu wanaweza kubishana bila kupigana. Unapofika kuweka dhihaka kwenye bendera, ngao na nyimbo za mataifa mbali mbali basi wewe unakuwa punguani. Kuna standards ambazo tumejiwekea ambazo kama huzifuati basi wewe unakuwa na kasoro.
Hili lipo hata kwenye elimu standards zinawekwa na baadaye zinafuatwa, kama huwezi kulielewa hili ni sawa na kurudi katika karne za nyuma na kuanza kuvaa nyasi au magamba ya miti.
USTAARABU NI KITU CHA BURE LAKINI GHARAMA YAKE NI KUBWA.