Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Kabisa mkuu.....sasa hivi tunapesa ndo maana tunatembelea magari show za bnk wiki tu nina laki na nusu...maboresho kibao..usikute tunaweza kumlisha yeye na kafamilia kao,,,hawajiulizagi kwa nini dada zao wanatupenda kwel kweli.

Walishakalili polisi omba omba, wakati daily tuna buku sita ya kula, bank kumi na tano, ukijumlisha napata 21000, halafu nimuombe mtu hela?
 
Afu tabia ya jion kuja kwenye canteen zetu kuvizia bia za buku na vitambi vyao wananikela sana!!tukitoka doria tunakuta zshaisha!!!ila tunakua tushapiga hela mtaani!so tunaenda kutumia na wake zao!!hahahah!!!
 
Sisi majambazi na vibaka huwa tunafurahi sana mnaopowapunguza nguvu polisi ya kufanya kazi hawa ni adui zetu sana ...nyie raia tunawapenda onyesheni ushirikiano na sisi...pia ongezeni juhudi za kuwaponda polisi wafe moyo.....nawapenda sana raia wa Tz
 
Ukisikia yalaaaaaaaa.....



kalaaniwa mama yako...t.u.t.u.sa mshenzi, ndorooobo wewe

Mkuu naona unatafuta kiki tu ya thread yako, inawezekana umeota au umeamka vibaya hivyo unatafuta ahueni hata kwa kupost pumba!

Kwa taarifa yako hakuna polisi omba omba na kama umemkuta anafanya hivyo basi hua huyo ni MGOGO toka dodoma, maana yake omba omba ni jadi yake regardless of his position

Kingine kimaslahi tupo fiti tu na wala hatutegemei kuomba omba, kama ndio tupo hoi namna hiyo na wale wanaolipwa kima cha chini wanafanyaje sasa

Jaribu kukuza akili kwa kufikiria utaishije kwenye hako kachumba kako kamoja unakodaiwa kodi miezi kumi kuliko kushinda JF ukipost uharo

Wewe ndio una njaa, na usivyo na akili badala hiyo jero ununue japo chapati unanunua mb
 
Wakifungana na magari barabarani au foleni za kwenda mjini zikizidi eeee polisi wako wapi watuvute.....

Mkileta ujinga mkipigwa mnasema laana mkiibiwa eee polisi tusaidieni

Sidhani kama ni msaada, tunachangia kodi na takataka nyingi sana kuliwezesha jeshi la polisi liweze kuendesha shughuli zake. Wangekua wanatimiza wajibu wao vizuri hao wahalifu hawakupaswa kutughasi na kuweka rushwa mbele kumeongeza tatizo, pamoja na tatizo la miundombinu lakini hawa jamaa pia ni tatizo, unaweza mkuta anahangaika kupiga bao daladala wakati anaeongoza magari hamna, polisi na mahakama kwenye rushwa ni tatizo linalohitaji tiba ya dharura. Lakini sisi wananchi pia tunachangia tatizo, sometimes sehemu ya kukomaa tunawachekea, mtu anachukua funguo ya gari unakua mnyonge!!

Polisi jirekebisheni, mtaendelea kuwa kundi la kutengwa hadi lini?
 
TUsiwe wanafk nan acye jua umuhmu wa polis nan asienda kutoa lalamiko la polis una ulala ndan na mchepuko kwa ajil ya polis uwepo wao achen mambo yasio na tija
 
Acheni kuwaandama polisi kwani hawa ni miongoni mwa watumishi wanao ishi katika maisha magumu na kazi yao pia ni ngumu na ya hatari sana. Nyie mnalala usiku na wake/waume zenu wao wanalala nje kwenye mbu ili madi nyie mpate usingizi mzuri na wenye amani. Daah! tuwapatie polisi sapti kwani wanafanya kazi ngumu na mazingira magumu sana hata kota zao ni changamoto nyingine
 
Acheni kuwaandama polisi kwani hawa ni miongoni mwa watumishi wanao ishi katika maisha magumu na kazi yao pia ni ngumu na ya hatari sana. Nyie mnalala usiku na wake/waume zenu wao wanalala nje kwenye mbu ili madi nyie mpate usingizi mzuri na wenye amani. Daah! tuwapatie polisi sapti kwani wanafanya kazi ngumu na mazingira magumu sana hata kota zao ni changamoto nyingine

Watu wengi wana maisha magumu mkuu, wao badala ya kujaribu uwezekano wa serikali waongezee maslahi yao, wanakomaa kuwaumiza masikini wenzao. Hivi makondakta, waendesha bodaboda na kina mama ntilie nani ana afadhali ya maisha, mbona wenyewe wanaweka mirija kwenye vipato vya wenzao wanvyosotea kuliko wao. Unajua konda na dereva wake wanaamka na kulala saa ngapi? Alafu anakuja mtu anabeba jasho lao!!
 
Acheni kuwaandama polisi kwani hawa ni miongoni mwa watumishi wanao ishi katika maisha magumu na kazi yao pia ni ngumu na ya hatari sana. Nyie mnalala usiku na wake/waume zenu wao wanalala nje kwenye mbu ili madi nyie mpate usingizi mzuri na wenye amani. Daah! tuwapatie polisi sapti kwani wanafanya kazi ngumu na mazingira magumu sana hata kota zao ni changamoto nyingine


Suluhisho la maisha magumu ni kuwa Omba Omba????
 
Mkuu naona unatafuta kiki tu ya thread yako, inawezekana umeota au umeamka vibaya hivyo unatafuta ahueni hata kwa kupost pumba!

Kwa taarifa yako hakuna polisi omba omba na kama umemkuta anafanya hivyo basi hua huyo ni MGOGO toka dodoma, maana yake omba omba ni jadi yake regardless of his position

Kingine kimaslahi tupo fiti tu na wala hatutegemei kuomba omba, kama ndio tupo hoi namna hiyo na wale wanaolipwa kima cha chini wanafanyaje sasa

Jaribu kukuza akili kwa kufikiria utaishije kwenye hako kachumba kako kamoja unakodaiwa kodi miezi kumi kuliko kushinda JF ukipost uharo


Hongera sana kwa kuwa askari.

Ulivyonijibu hii post nazidi kuamini kuwa jeshi ni la Vilaza wa darasa...
 
Samahani kwa nitakayemkwaza.

Nimejarbu kujiuliza hawa ndugu zetu, ni kwamba wana pepo la omba omba ama.

Ukifika ofisini wanajua umewaletea hela... Kila mmoja anakuomba. Wanaomba hadi vocha za Jero .... Hii si laana kweli.

Ukikutana nao Bar ujue jukumu la kuwalewesha ni lako.... Hivi hawa jamaa hawana aibu ama???.. Kukosa aibu ni aina ya laana pia.

Wakipanda kwenye dalala nauli 300/= hawataki kulipa .. Wanataka kuonewa huruma... Hizi akili tegemezi itakuwa ni laana ama¿¿¿¿¿

Hawa jamaa hadi tunawakwepa. Maana ukiwa na ukarbu ujue majukumu ya kulea familia yake anakukabidhi..... Hii ni laana¿¿

Polisi kuweni na akili zilizojaa, Acheni kuwa na akili tegemezi.

Samahani Sana

policcm mbona walilaaniwa kitambo ndugu yangu? polisi wa tanzania ni kama MBWA...akili zao hazitofautiani na akili za MBWA KOKO anayekula vinyesi majalalani.
 
CCM Wana dhambi kubwa sana!
Anyway, mkuu mimi hujanikwaza kwa utafiti wako kwani uko sahihi isipokuwa huo uandishi wa kuning'ing'iza alama ya viulizo ndio tatizo!

KUNING'INIZA? hahahahaha! nimechekaje mie!
 
very true kaka, utalikuta lijitu linapondia hvyo alafu kuna ndugu zake polisi, au yeye mwenyewe kula kulala na anatamani aingie huku

acha kutetea UJINGA ndugu yangu, jaribu kupanua akili yako. mimi nina ndugu zangu polisi lakini nawaona kama MBWA KOKO tu...upolisi ni LAANA!
 
Back
Top Bottom