Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Mzee

Platinum Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
13,620
Reaction score
5,867
Samahani kwa nitakayemkwaza.

Nimejarbu kujiuliza hawa ndugu zetu, ni kwamba wana pepo la omba omba ama.

Ukifika ofisini wanajua umewaletea hela... Kila mmoja anakuomba. Wanaomba hadi vocha za Jero .... Hii si laana kweli.

Ukikutana nao Bar ujue jukumu la kuwalewesha ni lako.... Hivi hawa jamaa hawana aibu ama???.. Kukosa aibu ni aina ya laana pia.

Wakipanda kwenye dalala nauli 300/= hawataki kulipa .. Wanataka kuonewa huruma... Hizi akili tegemezi itakuwa ni laana ama¿¿¿¿¿

Hawa jamaa hadi tunawakwepa. Maana ukiwa na ukarbu ujue majukumu ya kulea familia yake anakukabidhi..... Hii ni laana¿¿

Polisi kuweni na akili zilizojaa, Acheni kuwa na akili tegemezi.

Samahani Sana
 
Mkileta ujinga mkipigwa mnasema laana mkiibiwa eee polisi tusaidieni
 
Samahani kwa nitakayemkwaza.


Nimejarbu kujiuliza hawa ndugu zetu, ni kwamba wana pepo la omba omba ama.

Ukifika ofisini wanajua umewaletea hela... Kila mmoja anakuomba. Wanaomba hadi vocha za Jero .... Hii si laana kweli.

Ukikutana nao Bar ujue jukumu la kuwalewesha ni lako.... Hivi hawa jamaa hawana aibu ama???.. Kukosa aibu ni aina ya laana pia.

Wakipanda kwenye dalala nauli 300/= hawataki kulipa .. Wanataka kuonewa huruma... Hizi akili tegemezi itakuwa ni laana ama


Hawa jamaa hadi tunawakwepa. Maana ukiwa na ukarbu ujue majukumu ya kulea familia yake anakukabidhi..... Hii ni laana


Polisi kuweni na akili zilizojaa, Acheni kuwa na akili tegemezi.


Samahani Sana.

wanalinda mali na raia polis jamii
 
Mkileta ujinga mkipigwa mnasema laana mkiibiwa eee polisi tusaidieni


Mkuu Mtia nia

Ila si wanalipwa kutokana na majukumu waliyopewa.

Kwanini wamekuwa omba omba???
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kuibana serikali kuwaboreshea maslahi yao....badala yake stress zao za ugumu wa maisha hasira zao wanazimalizia Kwa raia...
 
Ela zao wanajengea na kununulia magari za kwetu ndo za matumizi madogo madogo...
 
Hawa Jamaa Wametufanya ATM zao.
 
Nikiulizwa leo hii ni kundi lipi la jamii usilolipenda basi hawa jamaa ni no 1
 
baadhi ya polisi hawana maadili ya kazi yao.

wanachukua rushwa kwa mlalamikaji na mtuhumiwa, ivyo kuleta ubabaishaji.
 
Kiukweli kwa hapa kwetu kazi ya Askari ni laana mpaka kwa kizazi chake.

Laana hii inaiambukiza kizazi kwa kizazi na ukichunguza ni nadra sana kumkuta Mtoto wa Askari ambae amepata elimu yenye manufaa kwao.

Rushwa, kubambikiza makesi, dhulma Ndio zinazowadhuru hawa askari.
 
CCM Wana dhambi kubwa sana!
Anyway, mkuu mimi hujanikwaza kwa utafiti wako kwani uko sahihi isipokuwa huo uandishi wa kuning'ing'iza alama ya viulizo ndio tatizo!
Samahani kwa nitakayemkwaza.


Nimejarbu kujiuliza hawa ndugu zetu, ni kwamba wana pepo la omba omba ama.

... Hizi akili tegemezi itakuwa ni laana ama¿¿¿¿¿


Hawa jamaa hadi tunawakwepa. Maana ukiwa na ukarbu ujue majukumu ya kulea familia yake anakukabidhi..... Hii ni laana¿¿¿¿............. Samahani Sana.
 
usiombe wakuzoeee wa jinsia ya viti maalum
 
Back
Top Bottom