Mzee
Platinum Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,867
- Thread starter
- #81
Serikali inapopambana na tatizo la ombaomba tunaiomba isikamate tu wale ambao hawana wazaz au wanaozurura na kuomba.polisi nao wawe kwenye kundi la ombaomba.haiwezekani mishahara yao wajengee nyumba na kununulia magari halafu sisi tuwe marupurupu yao.kuna siku mambo yakibadilika watakuja juta
JF Kisima Cha Burudani .. Umenichekesha kinoma.