Ili tusiwachekee ukivamiwa na majambazi usipige simu polisi wee komaa nao tu na ukikwanguliwa na dcm wala usiwatafute wee komaaa tu
Kama sio Laana mtu mzima unawezaje kuomba Buku..
Askari punguzeni njaa... Mnajidhalilisha.
Sijasema Polisi hawana Maendeleo...
Swali ni kwanini Polisi wamegeuka kuwa Omba Omba????
Hongera sana kwa kuwa askari.
Ulivyonijibu hii post nazidi kuamini kuwa jeshi ni la Vilaza wa darasa...
Mkuu embu nieleweshe, inakuaje police wanaPAKAZIA WANANCHI KESI??? TENA ZA WIZI NA MAUAJI???? wanaomba kitu kidogo usipowapa unaishia ndani!! Embu nieleweshe mkuu maana siku izi nikiwaona nahisi usalama wangu uko mashakani!! Inshort sina imani na nyie.
NB. Hii sijaiskia bali nimeishuhudia.
Wakifungana na magari barabarani au foleni za kwenda mjini zikizidi eeee polisi wako wapi watuvute.....
Wewe ndio una njaa, na usivyo na akili badala hiyo jero ununue japo chapati unanunua mb
Ili tusiwachekee ukivamiwa na majambazi usipige simu polisi wee komaa nao tu na ukikwanguliwa na dcm wala usiwatafute wee komaaa tu