Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Swali: Taaluma ya Upolisi ama Polisi wamelaaniwa?

Unaongelea polisi wa wapi? Labda bongo/Africa
 
Mishahara midogo sana...
Na nyie muache kuwaendekeza, endesha gari lisilo na makosa uone kama atakukamata....
 
baadhi ya polisi hawana maadili ya kazi yao.

wanachukua rushwa kwa mlalamikaji na mtuhumiwa, ivyo kuleta ubabaishaji.

Police ni moja ya taasisi zinazo ongoza kwa ubabaishaji, kuanzia Viongozi mpaka Askari wa chini kabisa.

Wala rushwa, ombaomba, wanadhulumu na kuonea wananchi bila sababu.

Ni katika taasisi inayo ongoza kwa kuchukiwa na wateja wake ila kwasababu hakuna mbadala ndiomana wanaendele kufanya ubabaishaji.
 
Kama wewe unajiona ni imara, ni jeuri kabisa, na hutaki kusikiliza maombi ya polisi, utapigwa tu. Na mimi nasema, wapigwe tu. Na watakupiga tu.
 
Samahani kwa nitakayemkwaza.


Nimejarbu kujiuliza hawa ndugu zetu, ni kwamba wana pepo la omba omba ama.

Ukifika ofisini wanajua umewaletea hela... Kila mmoja anakuomba. Wanaomba hadi vocha za Jero .... Hii si laana kweli.

Ukikutana nao Bar ujue jukumu la kuwalewesha ni lako.... Hivi hawa jamaa hawana aibu ama???.. Kukosa aibu ni aina ya laana pia.

Wakipanda kwenye dalala nauli 300/= hawataki kulipa .. Wanataka kuonewa huruma... Hizi akili tegemezi itakuwa ni laana ama¿¿¿¿¿


Hawa jamaa hadi tunawakwepa. Maana ukiwa na ukarbu ujue majukumu ya kulea familia yake anakukabidhi..... Hii ni laana¿¿¿¿


Polisi kuweni na akili zilizojaa, Acheni kuwa na akili tegemezi.


Samahani Sana.

kalaaniwa mama yako...t.u.t.u.sa mshenzi, ndorooobo wewe
 
Mkuu naona unatafuta kiki tu ya thread yako, inawezekana umeota au umeamka vibaya hivyo unatafuta ahueni hata kwa kupost pumba!

Kwa taarifa yako hakuna polisi omba omba na kama umemkuta anafanya hivyo basi hua huyo ni MGOGO toka dodoma, maana yake omba omba ni jadi yake regardless of his position

Kingine kimaslahi tupo fiti tu na wala hatutegemei kuomba omba, kama ndio tupo hoi namna hiyo na wale wanaolipwa kima cha chini wanafanyaje sasa

Jaribu kukuza akili kwa kufikiria utaishije kwenye hako kachumba kako kamoja unakodaiwa kodi miezi kumi kuliko kushinda JF ukipost uharo
 
Mkuu naona unatafuta kiki tu ya thread yako, inawezekana umeota au umeamka vibaya hivyo unatafuta ahueni hata kwa kupost pumba!

Kwa taarifa yako hakuna polisi omba omba na kama umemkuta anafanya hivyo basi hua huyo ni MGOGO toka dodoma, maana yake omba omba ni jadi yake regardless of his position

Kingine kimaslahi tupo fiti tu na wala hatutegemei kuomba omba, kama ndio tupo hoi namna hiyo na wale wanaolipwa kima cha chini wanafanyaje sasa

Jaribu kukuza akili kwa kufikiria utaishije kwenye hako kachumba kako kamoja unakodaiwa kodi miezi kumi kuliko kushinda JF ukipost uharo

very true kaka, utalikuta lijitu linapondia hvyo alafu kuna ndugu zake polisi, au yeye mwenyewe kula kulala na anatamani aingie huku
 
Mbona umechelewa kujua hili!!!!!

Polisi wana roho mbaya kama kinyesi,sjui kwanini.tatizo yakisoma humu ndio yanaenda kuzidisha ili myaongelee.yanapenda sifa.
 
kalaaniwa mama yako...t.u.t.u.sa mshenzi, ndorooobo wewe

Unajua hawa jamaa sijui wakoje wakiwa na shida wanatamani wakurambe miguu....ninyi tukisema tusimamie sheria inavyopaswa mtakimbia nchi....Mazafanta
 
Mkuu naona unatafuta kiki tu ya thread yako, inawezekana umeota au umeamka vibaya hivyo unatafuta ahueni hata kwa kupost pumba!

Kwa taarifa yako hakuna polisi omba omba na kama umemkuta anafanya hivyo basi hua huyo ni MGOGO toka dodoma, maana yake omba omba ni jadi yake regardless of his position

Kingine kimaslahi tupo fiti tu na wala hatutegemei kuomba omba, kama ndio tupo hoi namna hiyo na wale wanaolipwa kima cha chini wanafanyaje sasa

Jaribu kukuza akili kwa kufikiria utaishije kwenye hako kachumba kako kamoja unakodaiwa kodi miezi kumi kuliko kushinda JF ukipost uharo

Kabisa mkuu.....sasa hivi tunapesa ndo maana tunatembelea magari show za bnk wiki tu nina laki na nusu...maboresho kibao..usikute tunaweza kumlisha yeye na kafamilia kao,,,hawajiulizagi kwa nini dada zao wanatupenda kwel kweli.
 
J wj e u.. Vi bbbbba sss so us up from uyoo the up. ý with zealous. Sweet z w WEWE EHW. We
What viz z no oh
What zee I TV with. The c be Dazs za I have been so


On . But uu cities you use uyyyyyyyyy
 
Mbona umechelewa kujua hili!!!!!

Polisi wana roho mbaya kama kinyesi,sjui kwanini.tatizo yakisoma humu ndio yanaenda kuzidisha ili myaongelee.yanapenda sifa.

Vipi wamechukua mke wako nini..
 
kabisa mkuu.....sasa hivi tunapesa ndo maana tunatembelea magari show za bnk wiki tu nina laki na nusu...maboresho kibao..usikute tunaweza kumlisha yeye na kafamilia kao,,,hawajiulizagi kwa nini dada zao wanatupenda kwel kweli.

hivi inakuwaje mnakubali kutumika vibaya na ccm?mfano huko arusha polisi wanatumika kisiasa kuvuruga bvr.kwani kazi yenu inafungamana au ina mkataba maalumu na chama cha mapinduzi?
 
hivi inakuwaje mnakubali kutumika vibaya na ccm?mfano huko arusha polisi wanatumika kisiasa kuvuruga bvr.kwani kazi yenu inafungamana au ina mkataba maalumu na chama cha mapinduzi?

Kasome kazi za polisi ni zipi??acha majungu
 
Back
Top Bottom