Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Wasalaam JF
Rejea muktadha wa jicho la habari ulivyosomeka, naomba michango ya majibu yenu, wanandoa sio misukule wana kumbukumbu, wana akili za aina mbalimbali ikiwemo unafiki.
Je, kama ni kweli wanandoa hasa mwanamke kwa msisitizo kwa nini sharti abadili namba yake ya simu? baada ya kufunga ndoa kunani?
Hoja ya msingi ni nini, na mwafanya hivyo ili kumfurahisha nani, mwaogopa tindo tindo za kwazima?
Hio ni nini kina yahe?
Majibu tafadhari
Wabillahi Tawfiq
Asalaam Aleykhum
Rejea muktadha wa jicho la habari ulivyosomeka, naomba michango ya majibu yenu, wanandoa sio misukule wana kumbukumbu, wana akili za aina mbalimbali ikiwemo unafiki.
Je, kama ni kweli wanandoa hasa mwanamke kwa msisitizo kwa nini sharti abadili namba yake ya simu? baada ya kufunga ndoa kunani?
Hoja ya msingi ni nini, na mwafanya hivyo ili kumfurahisha nani, mwaogopa tindo tindo za kwazima?
Hio ni nini kina yahe?
Majibu tafadhari
Wabillahi Tawfiq
Asalaam Aleykhum