Swali kwa Ayubu Rioba: Siku hizi sera ya Taifa inaruhusu taasisi za kidini kunufaika na fedha za walipa kodi kupitia TBC?

Umeenda mbali sana, inawezekana wakawa wanatumika bila wao kujua kama wanatumika.

Japo I highly doubt that kwani TBC ipo kwa ajili ya umma wa watanzania na Waislamu na Wakristu ni moja ya makundi makubwa yaliyopo.

Mfano. Siku kama ya leo Ijumaa Waislamu (kundi mojawapo) ndio huswali na lugha kuu inayotumika kwenye dini yao ni kiarabu, this is the reality we should face it is worldwide otherwise walazimishwe kubadili lugha which is not possible, coz watakuwa tofauti na wenzao duniani.

Same kwa wakristu siku ya jumapili nao hurushwa hewani bahati nzuri kwao lugha inayotumika ni kiswahili, I think this to you is not a problem.

Hicho kimekuwa intended kuwafikia walengwa pekee, ni kweli usemavyo Tanzania/serikali haina dini, lakini pia ukumbuke watu wake wana dini zao.

Hili naona tulikubali tu halikwepeki, au kama wataka kuondolewa vipindi vya dini TBC basi viondolewe vyote bila kujali lugha inayotumika.
Hivi vipindi vinarushwa bure au Tibisii wanafanya biashara.
 
Hoja yako ni nini?
Maandishi ya Madrasa kupita kwenye utepe wa screen umeathiri nini kwenye ulichokuwa unakitazama?
Uvaaji wa hijaab mashuleni unakuathiri vipi, unatambua kuwa kuna Masister wa kikatoliki wanavaa vilemba mashuleni na vyuoni?
Hoja Ni kwamba serikali ya Tanzania Haina dini so haipswi kwa vyombo vyake vyake vyote ikiwemo vya habari visihusike kwa namna yoyote ile kutangaza kwa maana ya kueneza dini. Mambo kama ibada ya jumapili, ijumaa, mkesha wa pasaka , Baraza la idd, kipaimara, mkutano wa injiri, mashindano ya koroani, kusimikwa kwa askofu nk hayapaswi kutangazwa na vyombo vya habari vya Taifa.
Kuhusu mavazi ya kidini katika tasisi za Umma Hilo Ni sawa maana huo ndo Uhuru wa kuabudu na hilo linahusu Imani ya mtu binafsi
 
Naona uzi huu umeishawagawa watu 'WENYE IMANI ZAO' 😅
UDINI KATIKA SIASA NI DALILI YA KUFILISIKA KISIASA .............. MWALIMU!
NB: 1) HILI NI JUKWAA LA SIASA!
2) KUNA TUKUNDI FULANI TUNAONA NI MUDA MUAFAKA WA KUTUGAWA KIDINI ILI SIASA ZAO ZIWAENDEE UNONO ... WATCH OUT, YOU HAVE A LOT TO LOSE THIS WAY! ... THE WORLD IS TOO AWAKE FOR YOUR NONSENSE!

💀💀☠️💥
 
Cha muhimu kwenye dini ni ile imani yako vile unavyoamini,iwe umeikuta umeletewa au umeiunda mwenyewe mwisho wa siku ni uamuzi wako kuamini au kutoamini. Dini/imani sio kama kabila kwamba utakuwa utatambulika wewe ni kabila fulani kwa sababu baba ako ni kabila hilo, kwahiyo hoja ya dini za kuletewa au sio za kuletewa haina mashiko kama tungeangalia tungeanza kukataa vya kuletewa kuanzia tiba, vifa vya mawasiliano hadi usafiri ila tuliona vina faida na ndio maana tunatumia. Kwahiyo tukatae kitu kwa hoja za msingi na sio et vya kuletewa.
Kaza hapo hapo unapoabudu
 
Hoja hapa ni fupi: ni kwa vipi taasisi za umma kama vile RTD, shule na TBC zinaweza kuwa nyenzo ya kujenga utaifa. Utaratibu wa sasa una dosari. Just my fair opinion
Utaifa haujengwi kwa kulazimisha kufanana kila kitu, bali kwa kukubaliana kuishi na tofauti zetu ZINAZOKUBALIKA! ... hebu jaribu tu kufanya uniform za shule ziwe sare za watawa wa kikatoliki uone moto wake!
 
Kumjibu mpumbavu nao ni upumbavu

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
UMEISHAMJIBU!
1621629659017.png
 
View attachment 1792731
Dk. Ayub Chacha Rioba, Mkrugenzi Mtendaji wa TBC

Leo nimeona matukio mawili yasiyo ya kawaida kwenye luninga ya Taifa TBC1, inayoongozwa chini ya Ukurugenzi wa Dk. Ayub Rioba.

1. Asubuhi kabla ya kipindi cha Bunge cha mswali na majibu TBC1 walirusha kipindi cha "Madrasa" kilichokuwa na ujumbe unaotembea kwa upande wa chini ukisomeka "Mashindano ya Kuhifadhi Kurani Tukufu kwa Waislamu Wanawake Yameandaliwa na Taasisi ya Kiislam ya African Relief Foundation."

2. Mchana, mara tu baada ya matangazo ya Maadhimisho ya miaka 40 ya kuanzishwa kwa SADC, ambako Ayub Rioba alikuwa mwongozaji, kilifuata kipindi ncha swala ya Kiislamu.

Nafahamu pia kwamba, TBC1 imekuwa na kawaida ifuatayo:

1. Kila alfajiri madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya asububi.

2. Kila usiku wa kati, kabla ya saa sita, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya kufunga siku.

3. Kila Jumapili pia, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma ibada za Jumapili.

Lakini, TBC ni mali inayoendeshwa kwa kodi ya umma chini ya usimamizi wa serikali isiyofungamana na dini yoyote, kama tunavyosoma kwenye katiba ya nchi.

Pia, dini nyingi tayari zinavyo vyombo vyake vya habari kwa ajili ya kuendesha shughuli zake za kidini, kwa lugha wanazozitaka wao, hata kama sio lugha ya Taifa.

Nakumbusha kuwa, kwa sehemu kubwa, sala nyingi za madhehebu ya KiIslamu zinatumia lugha ya Kiarabu, jambo ambalo linakiuka sera ya kujenga umoja wa kitaifa kwa kutumia lugha ya Taifa.

Hata litania nyingi za Kikristo zinasomwa kwa lugha ya Kilatini ambayo sio lugha ya Taifa.

Kama hivi ndivyo, kwa nini TBC inatumika namna hii?

Ni muhimu swali hili lijibiwe ili tujichunguze kama vyombo vya habari vya kitaifa vinakweza maslahi ya vikundi kama vile taasisi za dini au vinatweza maslahi ya pamoja kama vile umoja wa kitaifa.

Napendekeza kwamba ni kosa kutumia kodi ya raia asiye na dini kuhudumia taasisi za kidini.

Ni kama ambavyo ni kosa kutumia kodi ya mtu asiye na chama cha siasa kutoa ruzuku kwa chama cha siasa.

Kuna tatizo hapo.
Siku hizi vyombo vya srikali vinalipisha hela ukivitumia - kama matangazo! Ukituma tangazo TBC unalipwa. Pili lugha ya kiarabu unaweza ukajifunza ukaijua hata wewe kama siyo mwisilam. In fact, wakristo wengi lugha yao ya kwanza na wengine lugha yao ya pekee ni kiarabu! Tatu, uislamu ni dini kubwa na imeota mizizi kiasi kwamba chuki yako haiwezi ikauyumbisha. Yameshindwa mataifa makubwa sembuse wewe!
 
View attachment 1792731
Dk. Ayub Chacha Rioba, Mkrugenzi Mtendaji wa TBC

Leo nimeona matukio mawili yasiyo ya kawaida kwenye luninga ya Taifa TBC1, inayoongozwa chini ya Ukurugenzi wa Dk. Ayub Rioba.

1. Asubuhi kabla ya kipindi cha Bunge cha mswali na majibu TBC1 walirusha kipindi cha "Madrasa" kilichokuwa na ujumbe unaotembea kwa upande wa chini ukisomeka "Mashindano ya Kuhifadhi Kurani Tukufu kwa Waislamu Wanawake Yameandaliwa na Taasisi ya Kiislam ya African Relief Foundation."

2. Mchana, mara tu baada ya matangazo ya Maadhimisho ya miaka 40 ya kuanzishwa kwa SADC, ambako Ayub Rioba alikuwa mwongozaji, kilifuata kipindi ncha swala ya Kiislamu.

Nafahamu pia kwamba, TBC1 imekuwa na kawaida ifuatayo:

1. Kila alfajiri madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya asububi.

2. Kila usiku wa kati, kabla ya saa sita, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya kufunga siku.

3. Kila Jumapili pia, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma ibada za Jumapili.

Lakini, TBC ni mali inayoendeshwa kwa kodi ya umma chini ya usimamizi wa serikali isiyofungamana na dini yoyote, kama tunavyosoma kwenye katiba ya nchi.

Pia, dini nyingi tayari zinavyo vyombo vyake vya habari kwa ajili ya kuendesha shughuli zake za kidini, kwa lugha wanazozitaka wao, hata kama sio lugha ya Taifa.

Nakumbusha kuwa, kwa sehemu kubwa, sala nyingi za madhehebu ya KiIslamu zinatumia lugha ya Kiarabu, jambo ambalo linakiuka sera ya kujenga umoja wa kitaifa kwa kutumia lugha ya Taifa.

Hata litania nyingi za Kikristo zinasomwa kwa lugha ya Kilatini ambayo sio lugha ya Taifa.

Kama hivi ndivyo, kwa nini TBC inatumika namna hii?

Ni muhimu swali hili lijibiwe ili tujichunguze kama vyombo vya habari vya kitaifa vinakweza maslahi ya vikundi kama vile taasisi za dini au vinatweza maslahi ya pamoja kama vile umoja wa kitaifa.

Napendekeza kwamba ni kosa kutumia kodi ya raia asiye na dini kuhudumia taasisi za kidini.

Ni kama ambavyo ni kosa kutumia kodi ya mtu asiye na chama cha siasa kutoa ruzuku kwa chama cha siasa.

Kuna tatizo hapo.
BBC ni shirika la habari la Uingereza. BBC limekuwa likiaminiwa kwa kutoa habari makini tena kwa wakati, yaani mfano tukio likitokea Simiyu, BBC itarippti kwa kina na umakini kuliko TBC au kituo chochote kilichopo Simiyu, jambo hili la kutoa taarifa kwa kina limeifanya BBC kuwa moja ya vyombo vya habari vya kuaminika duniani.

Sasa TBC hadhi yake kishirika ni sawa kabisa na BBC, yote ni mashirika ya habari ya nchi (umma). Kama BBC imejitengenezea kuaminiwa duniani, TBC ina uwezo huo pia. Shirika la Serikali linaweza kuwa kubwa litakavyo sababu lina kila rasilimali linayoihitaji. Sasa kwa nini isiige kutoka BBC?? Unaweza kuona vipindi vya sala za kufungua na kufunga siku BBC au DW? Wananchi wa Uingereza au Ujerumani hawana dini?
 
View attachment 1792731
Dk. Ayub Chacha Rioba, Mkrugenzi Mtendaji wa TBC

Leo nimeona matukio mawili yasiyo ya kawaida kwenye luninga ya Taifa TBC1, inayoongozwa chini ya Ukurugenzi wa Dk. Ayub Rioba.

1. Asubuhi kabla ya kipindi cha Bunge cha mswali na majibu TBC1 walirusha kipindi cha "Madrasa" kilichokuwa na ujumbe unaotembea kwa upande wa chini ukisomeka "Mashindano ya Kuhifadhi Kurani Tukufu kwa Waislamu Wanawake Yameandaliwa na Taasisi ya Kiislam ya African Relief Foundation."

2. Mchana, mara tu baada ya matangazo ya Maadhimisho ya miaka 40 ya kuanzishwa kwa SADC, ambako Ayub Rioba alikuwa mwongozaji, kilifuata kipindi ncha swala ya Kiislamu.

Nafahamu pia kwamba, TBC1 imekuwa na kawaida ifuatayo:

1. Kila alfajiri madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya asububi.

2. Kila usiku wa kati, kabla ya saa sita, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma sala ya kufunga siku.

3. Kila Jumapili pia, madhehebu ya dini tofauti hupewa muda wa kusoma ibada za Jumapili.

Lakini, TBC ni mali inayoendeshwa kwa kodi ya umma chini ya usimamizi wa serikali isiyofungamana na dini yoyote, kama tunavyosoma kwenye katiba ya nchi.

Pia, dini nyingi tayari zinavyo vyombo vyake vya habari kwa ajili ya kuendesha shughuli zake za kidini, kwa lugha wanazozitaka wao, hata kama sio lugha ya Taifa.

Nakumbusha kuwa, kwa sehemu kubwa, sala nyingi za madhehebu ya KiIslamu zinatumia lugha ya Kiarabu, jambo ambalo linakiuka sera ya kujenga umoja wa kitaifa kwa kutumia lugha ya Taifa.

Hata litania nyingi za Kikristo zinasomwa kwa lugha ya Kilatini ambayo sio lugha ya Taifa.

Kama hivi ndivyo, kwa nini TBC inatumika namna hii?

Ni muhimu swali hili lijibiwe ili tujichunguze kama vyombo vya habari vya kitaifa vinakweza maslahi ya vikundi kama vile taasisi za dini au vinatweza maslahi ya pamoja kama vile umoja wa kitaifa.

Napendekeza kwamba ni kosa kutumia kodi ya raia asiye na dini kuhudumia taasisi za kidini.

Ni kama ambavyo ni kosa kutumia kodi ya mtu asiye na chama cha siasa kutoa ruzuku kwa chama cha siasa.

Kuna tatizo hapo.

Unaposema litania nyingi una maanisha zipi?! Kilatin walikuwa wakitumia wakatoliki ila siku hiz hamna tena. Kama unaangalia tv nakuona kipindi hukipendi, wewe hama stesheni angalia ingine.
 
MPUMBAF MJINGA MDINI
Kawaida yenu tunaijua mkisha ona Nchi inaongozwa na WAISLAM mtaanza kuhoji kila aina ya ujinga Madhebu za Kikristo kila siku zitatoa MATAMKO mkitawa na Wagalatia wenzenu hata wakivuruga Nchi namna gani mnaufyata kimyaaa
Tumesha wazioe Waatoliki mnataka Nchi iwe ktk mikono yenu tu pumbaf zenu!
Wewe Mtawadhaji acha kurukaruka na kubwatuka kama upo kwenye Dhikri, TBC sio radio Imaan au Nur ya kwachangisha wafuasi wa Mwamedi

Tuliza kende. TBC inaongozwa kwa kodi ya wahindu, Maatheist na Mapagani pia

Una uelewa?
 
Mleta mada ana chuki kubwa dhidi ya uislam Ila Kwa unafiki anajaribu kutaja taja na ukristo ili kuficha chuki yake.

Sijaona mtu mwenye akili timamu Kama anaweza akakaa na kuanzisha mada Kama hii labda sana sana awe anasumbuliwa na chuki dhidi ya Imani fulani Kama huyu fala
Hayo wenye dini ndio walipa kodi.Kwa hiyo wanapeweka vipindi vya dini ndio kodi yenyewe hiyo,wanayotumia walipa kodi kwa manufaa yao.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Wahindi wote walio wahindu, Mapagani na Matheist hawalipi kodi?

Mnaanza tarawee enyi Bin Mudi eeh?
 
Mtoa mada upo sahihi, watu wanaotawadha kila Mara wanatawadha mpaka ubongo na kuondoa akili kidogo waliyo nayo na kubaki tupu kama Mwamedi.

Mwisho hawataweza kukuelewa.

Wabillah Tawfiq,
 
Huu uzi mzuri sana, sadly unahitaji certain level of thinking not any one can, esp. wenye mahaba na dini zao, unahitaji free minded people, mleta mada una kichwa kizuri sana.
 
Hoja Ni kwamba serikali ya Tanzania Haina dini so haipswi kwa vyombo vyake vyake vyote ikiwemo vya habari visihusike kwa namna yoyote ile kutangaza kwa maana ya kueneza dini. Mambo kama ibada ya jumapili, ijumaa, mkesha wa pasaka , Baraza la idd, kipaimara, mkutano wa injiri, mashindano ya koroani, kusimikwa kwa askofu nk hayapaswi kutangazwa na vyombo vya habari vya Taifa.
Kuhusu mavazi ya kidini katika tasisi za Umma Hilo Ni sawa maana huo ndo Uhuru wa kuabudu na hilo linahusu Imani ya mtu binafsi
Serikali haina dini ila watu wake wana dini, huwezi kuwazuia kupata neno la Mungu kupitia chombo chao cha habari, na ndiyo maana utakuta utoaji wa huduma za jamii kama vile afya vina ushirika wa serikali na mashirika ya dini, kuna hospitali za mashirika ya dini zina watumishi wa serikali, kinachoangaliwa ni huduma kwa jamii.
 
Kaza hapo hapo unapoabudu
Na ndio imani ilivyo ila sio kushikilia imani et kisa ya mababu zako kipi spesho walichokuwa nacho hao mababu? wao waliamini imani zao kwa kipindi chao na ndio maana kuna imani zao zengine tunaita ni imani potofu sasa hivi, kwahiyo kama mtu anaamini hizo imani za mababu aamini kwa hiari kwa kuona ndio imani yenye kufaa na sio kwa sababu et ni za mababu zake.
 
Siku hizi vyombo vya srikali vinalipisha hela ukivitumia - kama matangazo! Ukituma tangazo TBC unalipwa. Pili lugha ya kiarabu unaweza ukajifunza ukaijua hata wewe kama siyo mwisilam. In fact, wakristo wengi lugha yao ya kwanza na wengine lugha yao ya pekee ni kiarabu! Tatu, uislamu ni dini kubwa na imeota mizizi kiasi kwamba chuki yako haiwezi ikauyumbisha. Yameshindwa mataifa makubwa sembuse wewe!
Kwanza hizo sehemu zinazotumika kiarabu mbona ni sehemu chache sana nashangaa kwanini hii nayo ni hoja humu!
 
Hapana, kosa linalofanyika TBC ndio linafanyika kwa msajili wa vyama vya siasa. Kodi ya watanzania wasio na vyama inatumika kulipa ruzuku kwa vyama.

Vivyo hivyo, kodi ya mtu asiye na dini inatumika kuendesha TBC kwa faida ya muumini wa dini Y, etc

Haya mambo sio sawa hata kidogo
Hata asiye na dini,vipi vipindi vinavyomuhusu,kuna vipindi vya dansi,mziki,ngoma,makala za biashara,kilimo,ujasiriamali,nk.Na hao wasio na dini,hawajazuia kuwakilisha vipindi vyao,wenzao wenye dini wanawasilisha vipindi vyao.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom