britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ni sababu ipi ya kiutaalamu inayosababisha mikutano isiruhusiwe mbugani au hifadhini?
Je, ni usalama wa Wapinzani wasiliwe na Simba?
Maana wa chama tawala uwezo tunao wa kujilinda dhidi ya Simba ndo maana CCM Sisi hata leo tukiamua tunafanya.
Je, ni kuharibu nature ya eneo kama tunawaruhusu kwa wingi?
Lakini tumeona misafara ya watalii
Je, kuhofia hawatalipia Ada kuingia mbugani?
Hapa ndipo pa kupiga Pesa Kila kichwa kingehesabiwa laki 1 kuingia mbugani kwa shughuli nje ya Utalii kwa kila siku.
Kama walikuwa 100 ina maana hizo ni 10M per day.
Britanicca
Je, ni usalama wa Wapinzani wasiliwe na Simba?
Maana wa chama tawala uwezo tunao wa kujilinda dhidi ya Simba ndo maana CCM Sisi hata leo tukiamua tunafanya.
Je, ni kuharibu nature ya eneo kama tunawaruhusu kwa wingi?
Lakini tumeona misafara ya watalii
Je, kuhofia hawatalipia Ada kuingia mbugani?
Hapa ndipo pa kupiga Pesa Kila kichwa kingehesabiwa laki 1 kuingia mbugani kwa shughuli nje ya Utalii kwa kila siku.
Kama walikuwa 100 ina maana hizo ni 10M per day.
Britanicca