Surrogate Mother

kila kitu kinakuwa legal
ila hisia huwa zinasahau mikataba

Ila habari kama niliyoiweka hapo juu mimi naona ina uafadhali kidogo kwa sababu anayekubebea huo ujauzito ni mama yako mzazi (ambaye nadhani hadi mnafikia uamuzi huo mtakuwa mna maelewano mazuri) na yeye kama bibi kwa hali ya kawaida atakuwa na mapenzi pia kwa mjukuu wake pamoja na wewe mwanae. Uwezekano wa wote kuwa one happy family ni mkubwa.
 
kila kitu kinakuwa legal
ila hisia huwa zinasahau mikataba

Hisia zinaweza kuwekewa vikwazo pia na sheria.
Lakini mama original inabidi akubaliane na matokeo kwa hata njia yenyewe si ya kawaida kwahiyo kuja na restrictions kama hizo ni kukabiliana nazo. Asubiri hadi akabidhiwe "chake"
 
Ila habari kama niliyoiweka hapo juu mimi naona ina uafadhali kidogo kwa sababu anayekubebea huo ujauzito ni mama yako mzazi (ambaye nadhani hadi mnafikia uamuzi huo mtakuwa mna maelewano mazuri) na yeye kama bibi kwa hali ya kawaida atakuwa na mapenzi pia na mjukuu wake pamoja na wewe mwanae. Uwezekano wa wote kuwa one happy family ni mkubwa.

Mama kubeba mbegu ya mkwewe, kiafrika?
 
Hisia zinaweza kuwekewa vikwazo pia na sheria.
Lakini mama original inabidi akubaliane na matokeo kwa hata njia yenyewe si ya kawaida kwahiyo kuja na restrictions kama hizo ni kukabiliana nazo. Asubiri hadi akabidhiwe "chake"

Mama original ndo yupi sasa?
 
Well, si ni makubaliano tu. Na hizo mbegu si kwamba zinapandikizwa the old fashioned way. Na mwisho wa siku haya mambo si ya kila mtu. Kama mtu anaona hayawezi ni rukhsa kwenda kwa wachungaji wa Kinaijeria akamegwe huku akiimbishwa sala :becky:

I think ya Kinaijeria ni natural zaidi ukizingatia ina upako juu, hayo ya surrogate mi naona yana utata
 
Basi anayeona hiyo ya Kinaijeria inamfaa anaenda tu huko. Maisha si ni yake bana. Tena itapendeza zaidi wakijirekodi kwenye mkanda wa video :becky:


Hivi unawezeja mtu kumegwa huku unaimbishwa maombi...
na wewe ukatoka umeamini kabisa? lol
sasa ni maombi au adhabu? lol
 
In today's world we need to be less parochial in our thinking if we want to get somewhere....
U know what, it sounded like all examples and quotations u hv given were from America!
Anyway...may be iam too confiscated inhere!
Poor me!
 
mbegu ni za mwanaume...
mfano mimi na wewe,mtu na mkewe lakini mama yako ndo atabeba mimba kutuzalia watoto
we unaona yupi ni original mom?

Mi sina utaalamu wa teknolojia hiyo lakini nilidhani zinachanganishwa na surrogate anabeba tu, sijui. Imekaa kibiashara zaidi kuliko kibinadamu, anayemiliki ofcoz ni mama mwenye mume
 
If you take it as a gift of life, sioni tatizo liko wapi. Endapo utachukulia lucky enough kuwa na mtoto mwenye mama wawili. Ila surrogate mother anapaswa kujidetach na mtoto immediately after birth nadhani.
 
U know what, it sounded like all examples and quotations u hv given were from America!
Anyway...may be iam too confiscated inhere!
Poor me!

It doesn't matter if they are Americans or Argentinians.

They are people and that's what matters the most.
 
Back
Top Bottom