Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Sperm sio mbegu bwana, hakuna mbegu kwa wanyama ni mimea tu. Na Mbegu hupatikana baada ya fertilization na moja ya tabia muhimu ya Mbegu ni kuweza kuota. Sasa sperm ukiiacha peke yake haiwezi kuleta kiumbe chochote kama vile ovum ikiwa peke yake ni nothing.
Hmmm......:confused2:
Sasa sperm Kiswahili chake nini?