Kaunga umeridhishwa pasi na shaka vijana wanatumiwa?Zitto anawatumia hawajui tu, labda keshawafanya mazezeta.
Sumu ni sumu,tayari taarifa hizi police wanazo na si Saa nane tu,kuna viongozi watatu wa chadema watahojiwa na njama zao za kumtoa uhai Zitto.Hii insu itaondoka na watu ambao hamujawai tarajia na hapo ndipo tutakapojuwa nan mnafiki na muuaji chadema.
Unajua mwizi akikosa pa kuiba anaweza kuiba hata mboga aliyopika mkewe
jamani, hili jina masalia limetumika likimaanisha nini?
ha ha ha leftovers --aka mabaki -- sasa mabaki ya nani mi sijui waulize wenyewe.
naona mnatishiaana nyau.WEnzake wametangulia mahakamani
Ben Saanane lazima awe makini. Kwa jinsi Zitto alivyo lazima amtupie JUGNA JUHITumesikia maneno mengi ya kashfa, dharau, na matusi kutoka kwa Mchange Juliana shoza, TUNTEMEKE na Mtela Mwampamba, wamefanya hivyo mara kadhaa kwenye fb wall zao.
Tumekerwa na mengi na tukavumilia mengi maana wengine tuliona kuna utoto na vurugu za maono kwenye mbongo zao.
Hili la SUMU sio swala la kuacha lipite hivihivi,hapa lazima wote walio singizia kuwa Zitto alitaka kuuwawa na sumu na kinara wa hilo akiwa Ben Saanane basi lazima wadhibitishe bila chembe ya shaka kuwa ni kweli mpango huo ulikwepo ili hatua stahiki zichuliwe, mahali pekee pa wao kudhibitisha madai yao si pengine ni mahakamani.
Kuwawa kwa Zitto ni serious allegation ambazo ni lazima zifanyiwe kazi ili kukitakasa chama na walio tuhumiwa kuwa walitaka kuuwa mwanachama mwenzao.
Kwa maono yangu.
Katika mambo ambayo lazima kuonyesha u-serious ni pamoja na hili. Tena bila ya kumuuonea mtu aibu. Ben Saanane anaweza kuanza mchakato wa mashtaka hayo kwa kuwasilisha malalamiko kwenye baraza la wazee la chama. Wahusika wakiitwa na kushindwa kuweka ushahidi suala hilo liende mahakamani kwa uamuzi zaidi, hivyohivyo kama Ben nae itadhihirika bila chembe ya shaka kuwa alikuwa na mpango wa kuuwa kwa sumu naye sheria ichukue mkondo wake.
Lazima tulazimishe kuhama kutoka kwenye siasa za kutungiana uwongo na kuviziana tuje kwenye siasa safi zenye mashiko.
Mkuu hili kundi ni machokoraa na hawana adabu kabisa!!! Cha pili wote ni kundi la zitto na wanaweza kujipanga tu kusema kuwa Ben Saanane alikuwa na sumu. Ukiangalia maelezo yao ni kama vile wameandikiana ili yawe na ufanano fulani hivi. At the same time Zitto ni mjanja sana!!! Anatumia muda huu na watu hawa kuendeleza siasa zake za kukibomoa chama!!! Cha msingi wakienda mahakamani ni lazima wawe na evidence ya sumu!!! Walimrekodi Saanane akisema hayo na the so called sumu yake!!! Machokoraaa hawa wanatumika tu. Bora Ben Saanane ameungama!!
Lini Dr Slaa kafunga ndoa...katika dalili za unafiki ni kusema uongo.
Hawa machokoraa ni waongo, tangu lini SUMU ya Panya ikatumika kuua binadamu, tena kwa kumuwekea kwenye chakula au kinywaji?? Kama ni kweli huyo Ben Saanane alijaribu kumuua Zitto kwa sumu ya panya basi ni kilaza wa milenia. kama alikosa Polonium si angetumia hata nyongo ya mamba tu...