Sumu ya Nyoka: Si Kuumiza, Bali kuishi!

Sumu ya Nyoka: Si Kuumiza, Bali kuishi!

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
744
Reaction score
1,733
Sumu ya nyoka haikuumbwa kwa ajili ya kuwaumiza watu. Ni kimiminika cha thamani kubwa kwa nyoka ambacho hutumika kwa ajili ya kuishi. Nyoka hutegemea sumu hiyo kuwinda mawindo yao, na kwa kuwa kuitengeneza kunahitaji muda na nguvu nyingi, hawaitumii hovyo.

Nyoka anapomng'ata binadamu, mara nyingi huwa anajilinda, si kwa sababu anafurahia kufanya hivyo au anatamani kumdhuru mtu. Wakati mwingine anaweza hata kujizuia kabisa kuachia sumu yake na kutoa kile kinachoitwa kung'atwa bila sumu (dry bite). Hiyo huwa ni kama onyo tu.

Kwa mtazamo wa nyoka, kumng'ata binadamu mara nyingi ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kuona hakuna njia nyingine ya kujilinda. Hata katika hali hiyo, wakati mwingine huamua kutopoteza sumu yake ya thamani na kuihifadhi kwa mambo muhimu zaidi, kama vile kukamata na kuua mawindo yake kwa ajili ya chakula.

Kwa nini unawachukia nyoka, ukweli ni kwamba nyoka hawakuchukii wewe ila wanakuogopa sana.
Kiroho nyoka maana yake ni akili kwenye biblia nyoka anatambulika kama shetani huu ni uongo biblia ni kitabu Cha mafumbo wanaitafsiri nyoka ni shetani wanasema hivyo kwa maslahi yao shetani sio kiumbe.

Je umewai kujiuliza kwenye logo za hospitali kwanini inawekwa mchoro wa nyoka??

FB_IMG_1780404610923.jpg
 
Binadamu tunamahitaji mengi sana kutoka kwenye sumu za nyoka wakali

Sindano za Ganzi
Dawa za shinikizo la damu
Dawa za kuzuia damu isigande

Sio Nyoka tu wanyama wengi hufanya “defense machanism” na hapa ndio huoelekea kudhuru binadamu
Ndio maana baada ya kungata kurusha sumu hukimbia na kwenda kujificha kwasababu nyoka ni waoga sana

Ukiona Nyoka usimuue tena sana sana “chatu” asie na sumu na mpole, ita wataalamu wa wanyama wamchukue na wapeleke kwenye makazi yao misituni huko.
 
Kwamba shetani siyo kiumbe


Kweli Ibilisi yuko kazini
Shetani na Mungu ni nafsi moja yenye pande mbili ukifanya mema tunasema Mungu ametenda ukifanya maovu tunasema shetani ametenda.
 
Mawazo ya ibilis hayaa 😎
Ibilisi= shetani
Shetani ni roho na Mungu ni roho kwahiyo kila mtu ana roho ya kishetani na roho ya kimungu ukifanya mazuri roho ya Mungu imetenda ukifanya mabaya roho ya shetani imetenda tofauti ni kwamba Kuna watu Wana roho ya kishetani kwa kiwango kikubwa mfano wauaji Lakini pia ukiwa mpole sana mtu wa Mungu Dunia haina huruma.
 
Binadamu tunamahitaji mengi sana kutoka kwenye sumu za nyoka wakali

Sindano za Ganzi
Dawa za shinikizo la damu
Dawa za kuzuia damu isigande

Sio Nyoka tu wanyama wengi hufanya “defense machanism” na hapa ndio huoelekea kudhuru binadamu
Ndio maana baada ya kungata kurusha sumu hukimbia na kwenda kujificha kwasababu nyoka ni waoga sana

Ukiona Nyoka usimuue tena sana sana “chatu” asie na sumu na mpole, ita wataalamu wa wanyama wamchukue na wapeleke kwenye makazi yao misituni huko.
Ahsante kwa kuchangia nimejifunza kituu
 
Ibilisi= shetani
Shetani ni roho na Mungu ni roho kwahiyo kila mtu ana roho ya kishetani na roho ya kimungu ukifanya mazuri roho ya Mungu imetenda ukifanya mabaya roho ya shetani imetenda tofauti ni kwamba Kuna watu Wana roho ya kishetani kwa kiwango kikubwa mfano wauaji Lakini pia ukiwa mpole sana mtu wa Mungu Dunia haina huruma.
Umejitahidi kuelezea japo umemkosea muumba wako Mungu ni mkuu na muweza vyote huwezi mfananisha na roho za kipuuzi kama ibilis
 
Alooh HAWA kaleta mshirika awamu hii
Ivi unamfahamu nyoka vyema achana na hawa wa mjini
 
Endelea Na Mawazo Hayo Hayo
Kuna Member Humu JF Alifugishwa Majoka Na Wachina
Maeneo Ya Bagamoyo Kwa Matumaini Ya Kupata Sumu
Kwa Matumizi Mbalimbali Zaidi Alihakikishiwa Mapato
Yaliyonona Sana, Baadaye Majoka Yamekuwa Makubwa
Hakuna Mchina /Mmatumbi Mwenye Soko
 
Kwamba shetani siyo kiumbe


Kweli Ibilisi yuko kazini
Una ilimu Gani weye, shetani au mungu au malaika ni nomino za kufikirika, hauwezi na hakuna mtu aweye aliyewahi kumuona shetani au mungu.

Hivyo shetani au mungu sio viumbe bali ni mawazo ya binadamu baada ya kufika uko wa kupambania mambo wakaka na dhana za shetani na mungu
 
Back
Top Bottom