Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
- Thread starter
- #141
Umeishakuwa mteja wa Prof. Janabi.Sili nyama nakula kuku na samaki na mboga mboga basi. Situmii nyama nyekundu.
Umeishakuwa mteja wa Prof. Janabi.Sili nyama nakula kuku na samaki na mboga mboga basi. Situmii nyama nyekundu.
Hapo kwenye Nyama ungefanya hata TSHs 45,680 per Kg....Safi sana professor Janabi kwa kuishauri na kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari na mafuta ya kula. Usiishie hapo hakikisha nyama inapanda hadi elfu 30.
Haiwezekani watu kufa vifo vya kizembezembe tu kwa kula hovyohovyo unhealthy foods.
Janabi the national treasure.
Victoire
🤣🤣🤣🤣🤣🤭Umeishakuwa mteja wa Prof. Janabi.