DOKEZO Responded Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

DOKEZO Responded Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
uwoga wetu ndiyo umaskini wetu acha ccm waendelee kutusulubu mpaka maji tuite mmaaa
 
Safi sana professor Janabi kwa kuishauri na kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari na mafuta ya kula. Usiishie hapo hakikisha nyama inapanda hadi elfu 30.

Haiwezekani watu kufa vifo vya kizembezembe tu kwa kula hovyohovyo unhealthy foods.

Janabi the national treasure.


Victoire
Hapo kwenye Nyama ungefanya hata TSHs 45,680 per Kg....
 
Back
Top Bottom