miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
achana na huyo ajuza, Nape alishatuambia wanasubiri kufa! Sugu tumemchagua sisi na anafanya tulichomtuma!
Teh teh na mtu akileta ujinga apigwe ya chembe au hata jino ling'oke kila akiliona pengo ajue ukomboz umefika nyumban kwake.
Pipoooooooooz!!!!!