SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
achana na huyo ajuza, Nape alishatuambia wanasubiri kufa! Sugu tumemchagua sisi na anafanya tulichomtuma!

Teh teh na mtu akileta ujinga apigwe ya chembe au hata jino ling'oke kila akiliona pengo ajue ukomboz umefika nyumban kwake.
Pipoooooooooz!!!!!
 
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;

Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.


Sugu.jpg Kiukweli na kiuwazi, ni Watanzania wachache sana wanaoweza kuandika na kuweka hadharani (japo) ukweli juu ya maisha yao, Mh. Joseph Mbilinyi ni miongoni mwa hao wachache. Jitahidi kumsoma sasa hivi umuelewe kabla muda haujakutupa mkono!
 
Utaponzwa wewe na kutokujitambua kwako;
bibi nilikuzalia baba au mama yako
haaaa ukiwa huku acha kutafuna majani
simama na akili yako we vipi
copy: chama


Ha ha ha!! Naona jamaa kakushika pabaya karibu na ukweli!! Unang'aka huyoo!! Teh teh teh!!
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi atakuwa ni Chakula, hajiamini mpaka amuone chama nae yupo ndiyo kanaanza kujitutumua. We chama wewe, unamfanya nini mamndenyi??
 
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;

Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.

kwa iyo mbeya nzima ni vijana wote wanaopenda hip hop ndiomnaan sugu alishinda ubunge???

think critically kokoo.

"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" by Advocate Tundu Lissu
 
SUGU aombe video evidence Star TV/ITV aangalie taarifa zao za habari zilionyesha askari wa bunge akimpiga teke baada ya kumtupa nje.
 
Halafu nyie,
Mnamkomalia Mamndenyi
Mnaogopa kuambiwa au

Kweli ndo hiyo na kwa ujumla wenu sina ligi
na wasiojitambua kama nyie. .........Naongea na mfuga mbwa
siongei na mbwa
 
Last edited by a moderator:
Utaponzwa wewe na kutokujitambua kwako;
bibi nilikuzalia baba au mama yako
haaaa ukiwa huku acha kutafuna majani
simama na akili yako we vipi
copy: chama
Huyu Bibi Kizee kila kitu chama..

Hivi enzi za ujana wako hukufanya hayo mambo maana unaonekana umekolea sana kwa huyo jamaa wa Gongo la mboto kwa lala,, chama jana kasema ms*enge hata aliwe **Go namna gani hawezi kupata mimba. Na sisi tunafuatilia at your old age a.k.a ajuza nini kimekufanya ukolee kwa chama kiasi kwamba kila dakika unamtaja..

Sugu Moto Chini....
 
Teh teh na mtu akileta ujinga apigwe ya chembe au hata jino ling'oke kila akiliona pengo ajue ukomboz umefika nyumban kwake.
Pipoooooooooz!!!!!
"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" By Advocate Tundu Lissu.
 
Ritz huyu nawasiwasi nae anaweza kuwa mrwanda aliokosa hata elimu ya msingi kwasababu ya vita vilio tokea nchini kwao na yeye alikuwa on the run sasa hata shule hakupata nafasi sasa yupo tanzania kazi yake kupost utumbo na comments zake hazina kichwa wala miguu na nijanga kwa jamii
Wema, vipi Diamond yupo?

Unaweza kunatajia elimu ya Mbowe na Lema.

CC; chama. Mamndenyi, THE BIG SHOW,
 
Last edited by a moderator:
Halafu nyie,
Mnamkomalia Mamndenyi
Mnaogopa kuambiwa au

Kweli ndo hiyo na kwa ujumla wenu sina ligi
na wasiojitambua kama nyie. .........Naongea na mfuga mbwa
siongei na mbwa

Chama ameingia mitini na buku 7 ameshapokea.

Do you need a cucumber to sit on it??
 
inaondolewa akipiga askari au kuvunja mike za bunge

R.C.O ameona ushabiki wake wa ccm utamuaibisha, sasa ccm mmeumbuka.

"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakayethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" by Advocate Tundu Lissu
 
"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" By Advocate Tundu Lissu.

lissu naye ni mhuni wa kawaida tu hana jipya
 
Chama ameingia mitini na buku 7 ameshapokea.

Do you need a cucumber to sit on it??

[Paradiso, UNANIFUNJA MBAFU SANGU JAMANI, HAKA KAUZI KAMEKUJA KUWA KATAMU HUKU MWISHONI, Mamndenyi ni full FOOD.]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom