Mwenyewe anajisifia kwa alichofanya na wabunge wako wengi na wengi wala hawajui kwanini wako mjengoni. Sasa vituko kwa kwenda mbele, Deus Kibamba naye kwenye jukwaa lake amewashangaa wabunge kwa kuacha kufanya kazi iliyowapeleka bungeni wanajitishwa jukumu kutunga katiba mpya wakati si kazi yao.
Sugu aombe radhi yaishe mbwembwe zingine za kishamba, ukiangalia post zake FB we question his integrity. Wafuasi wake ndio balaa wao kusifia tu. Hata wakiweka sparling mtu mbili na askari hana upepo huo kutokana walivyombeba kimanumanu alikuwa mwepesi mno.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums