MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;
Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.
Mmh hivi unaweza kukubalika na kundi la watu tena vijana(takwimu za sensa zinaonesha ndio wengi nchini) halafu usiwe maarufu? emu jamani tujaribu kutumia vichwa vyetu kufikiri kwenye ukweli tuseme ukweli.