SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Kweli wewe Chamviga! Usikubali kushikwa akili zako namna hiyo! Hapa hakuna mtu kutafuta umaarufu! Katiba ni ya Watz wote na Sio
Mali ya Ccm! Kwanini Ccm hawataki uwepo uwiano sawa katika hili? Hii kesi ni ya kitoto na Kamanda Sugu atashinda tu!

Nani kakuambia wabunge ndio wanaotutengenezea katiba ya tanzania? Uwiano wa wabunge ndio utasaidia nini kama sio kuleta shombo za kijinga kama za kina Sugu na Mbowe?
 
Leo huyu Mamndenyi kanialibia sana siku Yangu! Kusema Rais wa Mbeya anakula majani.....! Au anataka tuwataje wauza sembe bungeni maana wao wameshindwa!

Kwani Mamndenyi kaongea uongo? Nani asiyejua uhuni wa sugu.
 
Last edited by a moderator:
Halafu nyie,
Mnamkomalia Mamndenyi
Mnaogopa kuambiwa au

Kweli ndo hiyo na kwa ujumla wenu sina ligi
na wasiojitambua kama nyie. .........Naongea na mfuga mbwa
siongei na mbwa

Kwikwikwi. Makamanda hawataki kusikia ukweli moyo unawaumaaa.
 
Last edited by a moderator:
Kila la heri, nimekumbuka jinsi Chenge alivyoweka uchawi wake bungeni! Dah
 
Ikiwa Mh Ndugai ktk utetezi ushwala anadai kuwa hakuita askari kutoka nje ya bunge bali kwa wale waliokuwepo ndani na nje kwenye viunga vya bunge kwani wote wapo bungeni,unasemaje kuwa Mh Sugu alimpiga askari nje ya bunge?
 
Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote

WEWE UNACHOONGEA UWE UNAKIJUA!.. Usikurupuketu.... inaonekana umejiunga juzi tuu,
em fatilia usikie huyo askari analalamika alimpiga wakati gan na wap..
 
Afadhali yao CCM wana tafuta umarufu kwa kuuza : Madawa ya kulevya, wanyama hai, pembe za ndovu, kung'oa waandishi wa habari meno na kuwauuwa kabisa....

Ccm hakuna anayetafuta umaarufu mkuu umechanganya mambo. Ccm ni dume la mbegu halina haja kujitangaza hata kidogo kila mwenye shida hujileta mwenyewe.
 
Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote

Du! Hata hujui kanuni za bunge.Iwapo spika akitaka mbunge atolewe nje maana yake HATOKE NJE ya geti kabisa,na sio nje ya ukumbi.
 
"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" By Advocate Tundu Lissu.

Watasanda wenyewe.....kila siku wanashindwa kesi.Kupotezea tu watu muda wakufikiria yanayotukabili,hawa watu hawafai!!!
Kama huyo Ndugai ndo sitaki hata kumsikia jinsi anavyoliendesha bunge kikata!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom