SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Makamanda Sugu hakupelekwa tena Mahakamani kapelekwa Kwa RCO akiongozana na LISU. Kaambiwa upelelezi unaendelea mpaka hapo utakapomalizika ataitwa tena.
 
Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote

Inaonekana umeandika kama vile umetoka kufumaniwa.unaelewaje maana ya ndani na nje ya bunge?kwani walipigiania dodoma Hotel?
 
Kamanda unaniuliza hayo maswali kwani mie polisi? Mie muuza kahawa tu.

basi we ni Dpp kwani nimeona huku unavyoshupalia mashitaka ya sugu.
kahawa unauzia Lumumba?
 
Unajua kama kuna kitu katika nchi hii ambacho sikielewi ni hilo la uchunguzi unaendelea. Baada utasikia ushahidi hautoshi. Tukio lile kwa jinsi lilivyokuwa limetokea katika maeneo ya wazi uchunguzi unachukua muda mrefu, je, uchunguzi madawa ya kulevya utachukua muda gani? Halafu kama walikuwa wanajua kwamba lazima wangefanya uchunguzi kwanza na uchunguzi wao hawana uhakika utamalizika lini, kwanini walimwambia afike leo Jumatano? Huu ni uwehu usio na kifani katika hii sayari inayoitwa dunia
 
kesi za kuku zinafika mahakaman wezi wa epa na wauza sembe wanasamehewa.haka kainchi bana.
 
Hii ndo Bongo bana. Full usumbufu! Polissm asipigwe yeye ni nani! Mbona baba yao, Mzee Remmy kawaambia watudunde? Na sie tukijitetea basi imeshakuwa nongwa! Wapigwe tuu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ritz huyu nawasiwasi nae anaweza kuwa mrwanda aliokosa hata elimu ya msingi kwasababu ya vita vilio tokea nchini kwao na yeye alikuwa on the run sasa hata shule hakupata nafasi sasa yupo tanzania kazi yake kupost utumbo na comments zake hazina kichwa wala miguu na nijanga kwa jamii
 
Inaonekana umeandika kama vile umetoka kufumaniwa.unaelewaje maana ya ndani na nje ya bunge?kwani walipigiania dodoma Hotel?

Sio kosa lako kukosa elimu mdogo wangu alichofanya sugu ni Obstruction of Justice na lazima ifikishwe mahakamani
 
sidhani kama kuna kesi ya maana hapo
wana evidence gani? digital evidence?
maneno pekee watashindwa,mwingine atasema alimpiga ngumi usoni, mwingine kwenye taya
mwingine kichwani, mwingine kwenye panda la uso, mwingine kisogoni etc
Sidhani kama watakuwa na ushahidi unaojitosheleza.
Kwa mawakili makini ni rahisi sana kuwaumbua mashahidi wa jamhuri.
anaweza kuwakamata kwa kigezo cha muda, mahali,upande upi? walikepo watu wangapi,alivaa nguo gani?
nk, Maswali haya lazima yawachanganye mashahidi na lazima watajikanyaga,,mwishoni kesi inaisha kwa kukosa ushahidi unaojitosheleza,
 
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;


Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.
Mamndenyi tafadhali tengua kauli,ina maana wanyakyusa wooooooote waliomchagua Sugu wanapenda hip hop?na mbeya yooooote haina wazee na watu wazima ni vijana tu?Acheni ushabiki na uzandiki tuokoe taifa hili toka kwa shetani masisiem na polisisiem.
 
Last edited by a moderator:
Sitengui
Na ibaki kama ilivyo
Mamndenyi tafadhali tengua kauli,ina maana wanyakyusa wooooooote waliomchagua Sugu wanapenda hip hop?na mbeya yooooote haina wazee na watu wazima ni vijana tu?Acheni ushabiki na uzandiki tuokoe taifa hili toka kwa shetani masisiem na polisisiem.
 
Update sugu hajaenda mahakamani kaishia polisi tu wamesema watamwita tena watakapomhitaji naona kesi inawashinda mapema wanashindwa waanzie wap??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;

Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.

Hivi ile kesi ya Aden Rage kutishia kwa bastola kule Igunga ilikwishaje?au haikuwepo kabisa?
Hivi na wanaotukana bungeni hakuna tunachoweza kuwashtaki nacho?au ni kwa CDM tu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom