SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Ccm hakuna anayetafuta umaarufu mkuu umechanganya mambo. Ccm ni dume la mbegu halina haja kujitangaza hata kidogo kila mwenye shida hujileta mwenyewe.

Dume kwa wazazi wako na wewe mwenyewe...
 
hawa ndio wale mazuzuuuuu , hata kanuni ndogo kama hizi za bunge hujui, vidole havina ushirikiano na ubongo !

Mimi sio lazima nijue sheria za bunge.Tatizo lako wewe shule hujakwenda unasikiliza maneno na kanuni zakwenye vijiwe vya wauza kahawa ndio unaona unajua kanuni rudishule bado huja chelewa hata elimu ya wazee ipo pale kwenu kigogo nenda kama huna ada basi njoo nikupe wende ukapate elimu
 
hiyo kinga inaruhusu askari wachumia tumbo kutii amri aramu kutoka kwa spika mchumia tumbo kumbeba mbunge mkuku mkuku kutoka ndani ya bunge?

Kama huwezi kutii amri lazima mpigwe tu na tutakupigeni tu mpaka mtakaa sawa
 
Mtu akisema bungeni ni pamoja na ikumbi na viunga vyake,so wanapoteza muda wao tu,there is no way watamhold liable
 
Green city nambie kwenye shule zenu za kata wana somesha kanuni za bunge?
 
Kama huwezi kutii amri lazima mpigwe tu na tutakupigeni tu mpaka mtakaa sawa

Sasa haya majanga! Mnasema mtawapiga lakini anayeenda mahakamani kushtaki kuwa kala kipigo ni askari. Kuweni na msimano basi! Mmepiga au mmepigwa?
Ila hata mie nilimwona Sugu akimpa uppercut mbili za nguvu yule askari baada ya kumburuza. Lakini kwa vile ana kinga ya bunge alistahili kumchapa yule askari maana alifuata amri ya Ndugai kama JIBWA bila kufikiri heshima ya mbunge.
Binafsi nampongeza Sugu kwa kufundisha adabu askari wanaofikiri kama mbwa wao ambao akiambiwa kamata! Hajiulizi
 
Mkuu Pasco.

Unataka kuniambia mbunge akiwa bungeni akimchinja askari au kumpiga risasi analindwa na kinga na cheo chake

Ndio maana yake!
haya makinga hata rais si anayoooo, huo ndio ubaya wa "kukilinda chama" chama chenyewe ccm, havijadiliwagi vitu kwa kina na kuishirikisha akili kikamilifu.
SUGU TUNAKUUNGA MKONO. IKIBIDI KUMPIGA MTU NA APIGWE KAMA NIA NI KUWATETEA WANANCHI.
 
Last edited by a moderator:
Huo ndio uhalisia wa watanzania wengi, sheria isipofuatwa wanaponda, sheria ikifuatwa wanaponda. yaani askari akimpiga raia wanaponda, askari akipigwa na raia wanaponda.

mkuu kwakweli hapo naungana na wewe jamaaa kaonyesha upeo mdogo sana wa kufikiri.
 
Kama huwezi kutii amri lazima mpigwe tu na tutakupigeni tu mpaka mtakaa sawa

Huu ubabe wa kupigana pigana huu ndio utaharibu kila kitu; ... hata mjusi ukimkimbiza sana upo uwezekano wa kukugeuzia kibao!
Kama ni sheria basi ifuatwe na kila mtu, sio wengine waonekane kama vile wako juu ya sheria na wengine chini. Utawala wa sheria unasema watu wote ni sawa.
 
Huo ndio uhalisia wa watanzania wengi, sheria isipofuatwa wanaponda, sheria ikifuatwa wanaponda. yaani askari akimpiga raia wanaponda, askari akipigwa na raia wanaponda.

mkuu kwakweli hapo naungana na wewe jamaaa kaonyesha upeo mdogo sana wa kufikiri.
 

Sasa haya majanga! Mnasema mtawapiga lakini anayeenda mahakamani kushtaki kuwa kala kipigo ni askari. Kuweni na msimano basi! Mmepiga au mmepigwa?
Ila hata mie nilimwona Sugu akimpa uppercut mbili za nguvu yule askari baada ya kumburuza. Lakini kwa vile ana kinga ya bunge alistahili kumchapa yule askari maana alifuata amri ya Ndugai kama JIBWA bila kufikiri heshima ya mbunge.
Binafsi nampongeza Sugu kwa kufundisha adabu askari wanaofikiri kama mbwa wao ambao akiambiwa kamata! Hajiulizi
Akili za kuambiwa changanya na zako hao Polisi walipaswa kufikiria kabla ya kukurupuka na kufanya maamuzi ya kidhalilishaji kwa mh mbunge ndani ya Bunge ambapo alijihami sasa anashitakiwa kwa kujihami na majanga ya Amri ya Ndungai hivi na yeye akiamua kuwashitaki polis kwa kumpiga mtama na kumkwida mahakamani patatosha ?
 

Sasa haya majanga! Mnasema mtawapiga lakini anayeenda mahakamani kushtaki kuwa kala kipigo ni askari. Kuweni na msimano basi! Mmepiga au mmepigwa?
Ila hata mie nilimwona Sugu akimpa uppercut mbili za nguvu yule askari baada ya kumburuza. Lakini kwa vile ana kinga ya bunge alistahili kumchapa yule askari maana alifuata amri ya Ndugai kama JIBWA bila kufikiri heshima ya mbunge.
Binafsi nampongeza Sugu kwa kufundisha adabu askari wanaofikiri kama mbwa wao ambao akiambiwa kamata! Hajiulizi

Tatizo lenu nyinyi mnakula sana majani ya malawi sugu katolewa nje kukosa adabu ndani ya bunge letu la jmt na kashitakiwa kwa kosa lakumpiga askari ambae alikuwa anafanya kazi yake umenielewa wewe mla kitu cha malawi
 
Huo ndio uhalisia wa watanzania wengi, sheria isipofuatwa wanaponda, sheria ikifuatwa wanaponda. yaani askari akimpiga raia wanaponda, askari akipigwa na raia wanaponda.

mkuu kwakweli hapo naungana na wewe jamaaa kaonyesha upeo mdogo sana wa kufikiri.
 
Sugu na wewe fungua kesi ya kupingwa kwani na wao polisi hawana Haki ya kukupiga ili unbalance yaani kesi juu ya kesi shitaki nikushitaki hapo ni mwendo wa kushitakiana kwani Hakuna mwenye Haki ya kumpiga mwenzake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom