SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
sugu alifanya ujinga ile aliwa nje ya ukumbi wa bunge ni vema wakampin tu.
 
Ccm hakuna anayetafuta umaarufu mkuu umechanganya mambo. Ccm ni dume la mbegu halina haja kujitangaza hata kidogo kila mwenye shida hujileta mwenyewe.

Duuh!! kumbe shida ndio zinawapeleka watu CCM?
 
acha umbumbu, kinga ya bunge kwa mbunge ni hata akiwa maeneo ya bunge, na ofisi za bunge dar zanzibar na dodoma.
 
WEWE UNACHOONGEA UWE UNAKIJUA!.. Usikurupuketu.... inaonekana umejiunga juzi tuu,
em fatilia usikie huyo askari analalamika alimpiga wakati gan na wap..

Wewe kweli ni janga la taifa yani umepelekwa shule bado akili yako inamgando wakufikiria wewe ulijuaje kama nimekuja juzi wakati JF nikama daladala watu wanakuja na kuondoka au ndio kichwa chako kimeshapata majani na viroba vya tandale
 
Vipi ile kesi ya Rage ya kumpiga kijana wa CDM imefikia wapi? Pia vipi ile kesi ya yule mbunge wa kule Dodoma ya kuomba kupokea rushwa nayo imefikia wapi? ama upelelezi haujakamilika? Ngoja tuone , yetu macho.

Swali gumu nina hofu kama kina lumumba comrade watakujibu!
 
Wewe kweli ni janga la taifa yani umepelekwa shule bado akili yako inamgando wakufikiria wewe ulijuaje kama nimekuja juzi wakati JF nikama daladala watu wanakuja na kuondoka au ndio kichwa chako kimeshapata majani na viroba vya tandale
Hahaaa!Bint inaonekana umeshindwa kutetea hoja yako yakusema sugu kumpiga askar nje ya bunge... pole sn,

af izo buku saba ndizo zinawafanya kila siku mbadilike badilike, pole sn

Ila sio mbaya ndo ajira kwa vjana mlizo ahidiwa!...
 
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;

Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.
mkuu basi wewe maarufu kuliko Sugu.
 
Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote

hawa ndio wale mazuzuuuuu , hata kanuni ndogo kama hizi za bunge hujui, vidole havina ushirikiano na ubongo !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom