SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote
hiyo kinga inaruhusu askari wachumia tumbo kutii amri aramu kutoka kwa spika mchumia tumbo kumbeba mbunge mkuku mkuku kutoka ndani ya bunge?
 
acha umbumbu, kinga ya bunge kwa mbunge ni hata akiwa maeneo ya bunge, na ofisi za bunge dar zanzibar na dodoma.
dada nimeipenda hii lakini umesahau kumkoti huyo mbumbu anayefikiri kinga ya bunge inaishia pale tu spika wachumia tumbo wanapolundika masabuli yao
 
Hembu wageuzie masab.uri na uache nyuma wazi uone watakavyo kutengeneza ndio utajua kama hawaja vunja ungo.

Mliberali aliyekubuhu huwa anajionyesha hadharani ajulikane.
Uwanda huu wa siasa huna soko, we mchangie Sugu asifungwe.
 
Inamaana ile kinga ya mbunge akiwa bungeni huondolewa iwapo atakuwa mbunge wa CHADEMA?

Hapana lengo kuu la askari ni kuipaisha CHADEMA ila maccm yanajua wanaikomoa CDM kwa wananchi.

Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote

Kinga ya bunge haipo ndani ya bunge bali hata nje ya viunga vya bunge.
 
mkuu basi wewe maarufu kuliko Sugu.

Hata waliomchagua sugu una maana ni hao vijana wapenda Hip hop tu? Acha wivu wa kike Mamdenyi . Sugu ni maarufu long time kitambo Mbeya na Tanzania kwa ujumla. Sugu moto chiniiiiii....................
 
huku ni kupoteza muda hakuna case. mbwembwe zote kumbe hata upelelezi hawajakamilisha.
 
Inamaana ile kinga ya mbunge akiwa bungeni huondolewa iwapo atakuwa mbunge wa CHADEMA?

Heee
Unakumbusha maumivu; Ritz hakuna mwenye uwezo wa kukujibu hapa

Kwahiyo unataka nini?


We kibibi umevimbiwa ubwabwa wa nazi za ccm

52fghv.jpg

Umehongwa huu umedata na sera malaya za maccm
 
Nani kakuambia wabunge ndio wanaotutengenezea katiba ya tanzania? Uwiano wa wabunge ndio utasaidia nini kama sio kuleta shombo za kijinga kama za kina Sugu na Mbowe?

Yani wewe Ndio upepo kabisa! Inaoneka wewe Si kijana wewe uko kwenye kundi la Kina Kingunge Ngombalemwilu! Huna sera wala jipya! Aibu mlioipata mahakamani Tabora kwa kesi ya kubuni ya Ugaidi mtaipata tena Dodoma!
 
Kama hili shauri litapelekwa mahakamani, itabidi Dpp&mwanasheria mkuu wa serikali wajiuzulu, ibara ya 100 ya katiba ya nchi yetu iko wazi! Watakuwa wanazitukana fani zao kama wanasheria!
 
Kwani Mamndenyi kaongea uongo? Nani asiyejua uhuni wa sugu.

Mbona hamsemi ukweli kuhusu Sembe na Iddi Azani na Kinana Na meno ya Tembo? Acheni hoja uchwara zenu! Mmelewa buku7 sasa mnaandika tu Kama mnahara.
 
Last edited by a moderator:
Kwikwikwi. Makamanda hawataki kusikia ukweli moyo unawaumaaa.

Nyie wote Njaa inawasumbua tu ndo maana mnakuja na hoja uchwara! Mambo muhimu ya kitaifa hamsemi lolote! Nendeni mkanywe viroba huko na buku7 zenu!
 
Halafu nyie,
Mnamkomalia Mamndenyi
Mnaogopa kuambiwa au

Kweli ndo hiyo na kwa ujumla wenu sina ligi
na wasiojitambua kama nyie. .........Naongea na mfuga mbwa
siongei na mbwa

wabibi kama nyie ndio mnaochelewesha ukombozi!
 
Last edited by a moderator:
Makamanda leo Mh.Sugu anapelekwa mahakamani mkoani Dodoma. Ikumbukwe kuwa Sugu anakabiliwa na shitaka la kumtishia kumpiga askari polisi bungeni.

Updates: Sugu karudishwa kwa RCO. RCO anasema uchunguzi haujakamilika kwa hiyo SUGU kaachiwa kwa dhamana hadi hapo atakapoitwa tena.

Updates: Katika kuongea na waandishi wa habari Lisu amesema ni mbumbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba.

Kwa kauli hiyo ya Tindu Lissu, kama ilivyokuwa kauli ya Mabere Marando kuhusu tuhuma za ugaidi zilizokuwa zinawakabili Lwakatare na Ludovick, serikali kama kweli ni 'sikivu' waachane na hiyo kesi, vinginevyo wajiandae kuumbuka tena mahakamani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom