SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Acha hadithi za hekaya za abunwasi
sugu akikosea ataambiwa na akifanya vizuri
atachanwa mistari hivyo hivyo;

Nilikuwa Mbeya uchaguzi wa 2010 na nilihusika vilivyo!Sugu alishinda kiurahisi mno kutokana na kura za wazee na akina mama!

Wasafwa wangapi wanaijua na kuipenda hip hop?Sugu ni Mbunge wa watu wa aina zote!
 
Mhe. Sugu analindwa na sheria ya "kinga, haki na madaraka ya bunge" awapo bungeni tuu!.
Ila kwa jinsi alivyotolewa, anajipatia kinga ya "provocation", alikuwa "provocked!", hivyo chochote alichosema, alichofanya, hata angekuwa "armed!", angemfumua huyo askari, "defence ya provocation!" ingetumika hivyo kisheria hana kosa kwa sababu kulitokea only "actus reus!" kitendo bali hakukuwa na "mens rea!" dhamira ya kutenda jinai!.

Ili mshtakiwa atiwe hatiani kwa kosa la jinai, lazima kwanza mahakama ithibitishe pasipo shaka kuwa kulikuwa na dhamira ndipo kitendo kikafuata!.

Sugu yuko ok kabisa na hana kosa lolote, hata kule kung'oa mic!, tena Mhe. Ndugai is lucky alikuwa mbali!, angestahili kupata "jeb" moja ambayo ingeshuka kwa "upper cut" kutokea chini ya kidevu hivyo kuondoa "canine" zote za mbele ya juu na chini!.
Pasco.
 
hivi ile kesi ya mbowe alivyochukuliwa na helkopta toka dar hadi arusha kwa mbwebwe iliishia wapi?
 
Makamanda leo Mh.Sugu anapelekwa mahakamani mkoani Dodoma. Ikumbukwe kuwa Sugu anakabiliwa na shitaka la kumtishia kumpiga askari polisi bungeni.
Siyo kumtishia anakabilia na shitaka la kumpiga askari polisi ngumi bungeni.
 
Pasco NAKUKUBALI sana mkuu lol hahahahahaaaa
 
Mhe. Sugu analindwa na sheria ya "kinga, haki na madaraka ya bunge" awapo bungeni tuu!.
Ila kwa jinsi alivyotolewa, anajipatia kinga ya "provocation", alikuwa "provocked!", hivyo chochote alichosema, alichofanya, hata angekuwa "armed!", angemfumua huyo askari, "defence ya provocation!" ingetumika hivyo kisheria hana kosa kwa sababu kulitokea only "actus reus!" kitendo bali hakukuwa na "mens rea!" dhamira ya kutenda jinai!.

Ili mshtakiwa atiwe hatiani kwa kosa la jinai, lazima kwanza mahakama ithibitishe pasipo shaka kuwa kulikuwa na dhamira ndipo kitendo kikafuata!.

Sugu yuko ok kabisa na hana kosa lolote, hata kule kung'oa mic!, tena Mhe. Ndugai is lucky alikuwa mbali!, angestahili kupata "jeb" moja ambayo ingeshuka kwa "upper cut" kutokea chini ya kidevu hivyo kuondoa "canine" zote za mbele ya juu na chini!.
Pasco.
Mkuu Pasco.

Unataka kuniambia mbunge akiwa bungeni akimchinja askari au kumpiga risasi analindwa na kinga na cheo chake
 
Last edited by a moderator:
Updates. Sugu hakupelekwa tena mahakamani kaambiwa upelelezi unaendelea mpaka atakapojulishwa.
 
Hv kweli askari anaweza kupigwa na raia? Basi hatuna askari ila wauza sura, na wapigwe tu, mimi nasema wapigeni.
Jeshi letu lazima linatakiwa lisukwe upya!! ikifika pahala askari wetu naye anakimbilia kituo cha Police kisha mahakamani baada ya mkongoto toka kwa raia mwema -- hii ni hatari.
 
Mkuu Pasco.

Unataka kuniambia mbunge akiwa bungeni akimchinja askari au kumpiga risasi analindwa na kinga na cheo chake

Hapo Pasco anaongelea Mens Rea na Actus Reus jinsi invyoweza kuaffect hata kuua bila kukusudia sio kpsa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco.

Unataka kuniambia mbunge akiwa bungeni akimchinja askari au kumpiga risasi analindwa na kinga na cheo chake

NIJIBU KWANZA ====hivi ile kesi ya mbowe
alivyochukuliwa na
helkopta toka dar hadi
arusha kwa mbwebwe
iliishia wapi?
 
Last edited by a moderator:
Updates. Sugu hakupelekwa tena mahakamani kaambiwa upelelezi unaendelea mpaka atakapojulishwa.

hamna kesi hapo jombaa!
kama walishidwa za ugaidi hizo ndo wataweza??
 
Siyo kumtishia anakabilia na shitaka la kumpiga askari polisi ngumi bungeni.
ningekuwa mimi askari nisingekubali kufungua jalada, yaani tungemalizana na Sugu hapo hapo kutunza heshima ya kazi yangu na familia -
 
NIJIBU KWANZA ====hivi ile kesi ya mbowe
alivyochukuliwa na
helkopta toka dar hadi
arusha kwa mbwebwe
iliishia wapi?
Kamanda unaniuliza hayo maswali kwani mie polisi? Mie muuza kahawa tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom