SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
ngoja tuwasubirie hao mambumbu watakaopeleka hiyo kesi mahakamani.
 
Huu ubabe wa kupigana pigana huu ndio utaharibu kila kitu; ... hata mjusi ukimkimbiza sana upo uwezekano wa kukugeuzia kibao!
Kama ni sheria basi ifuatwe na kila mtu, sio wengine waonekane kama vile wako juu ya sheria na wengine chini. Utawala wa sheria unasema watu wote ni sawa.

Sasa mzifuate hizo sheria za nchi mkivunja sheria lazima mpigwe tu hakuna jinsi
 
Tatizo lenu nyinyi mnakula sana majani ya malawi sugu katolewa nje kukosa adabu ndani ya bunge letu la jmt na kashitakiwa kwa kosa lakumpiga askari ambae alikuwa anafanya kazi yake umenielewa wewe mla kitu cha malawi
Kumbuka Sugu hakuanza kumpiga Asikari bali alisogea kumlinda m/kiti asidhalilishwe na Polis Ndipo ikatokea songombingo akaamua kujihami baada ya kuona polis hawatumii busara ya Kuchanganya Akili za Ndungai na zao kisha watafakari ndipo waamue lakini walikurupuka tu matokeo yake Sugu akaamua kujihami eti sasa anashitakiwa ! Kumbuka hata sugu ana haki ya kuwashitaki wale polisi kwa kumpiga kwani na wao hawana Haki ya kumpiga mh mbunge
 
Haya ndio unayowaambiaga mama na baba yako? Sina shaka wewe una matatizo makubwa ya laana ya wazazi wako.
Laani ni kwa wauuza unga, majangili, wangoa kucha na meno na kwa kingwagala ambae ameshindwa kumtibu baba yake...
 
Akili za kuambiwa changanya na zako hao Polisi walipaswa kufikiria kabla ya kukurupuka na kufanya maamuzi ya kidhalilishaji kwa mh mbunge ndani ya Bunge ambapo alijihami sasa anashitakiwa kwa kujihami na majanga ya Amri ya Ndungai hivi na yeye akiamua kuwashitaki polis kwa kumpiga mtama na kumkwida mahakamani patatosha ?
Dogo ukitaka kunijibu unapaswa kunisoma kwa makini sana ndio utanielewa.
 
Kutishia kupiga ni kosa la namna gani? na abu yake ikoje maana mie nishatishiwa sana na wazazi, walimu "nitakupiga wewe na utundu wako"
 
Mwenyewe anajisifia kwa alichofanya na wabunge wako wengi na wengi wala hawajui kwanini wako mjengoni. Sasa vituko kwa kwenda mbele, Deus Kibamba naye kwenye jukwaa lake amewashangaa wabunge kwa kuacha kufanya kazi iliyowapeleka bungeni wanajitishwa jukumu kutunga katiba mpya wakati si kazi yao.

Sugu aombe radhi yaishe mbwembwe zingine za kishamba, ukiangalia post zake FB we question his integrity. Wafuasi wake ndio balaa wao kusifia tu. Hata wakiweka sparling mtu mbili na askari hana upepo huo kutokana walivyombeba kimanumanu alikuwa mwepesi mno.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums




......hiloooooo!sasa “sparling" ndio nini na unamaanisha nini?
 
Tatizo lenu nyinyi mnakula sana majani ya malawi sugu katolewa nje kukosa adabu ndani ya bunge letu la jmt na kashitakiwa kwa kosa lakumpiga askari ambae alikuwa anafanya kazi yake umenielewa wewe mla kitu cha malawi

Bungeni kuna kazi gani inayomhusu polisi wanashindwa kulinda viwanja vya ndenge mpka twinga wanasafirishwa, madawa ya kulevya mpaka sasa hivi mtanzania ukiingia hong kong unapitishwa kwenye chumba maalum cha kukaguliwa...Na nina sema bado Pinda yaani sugu angemrukia Pinda...
 
Mnyika, zitto hawakuwahi kutumia nguvu katika ulingo wa siasa pale bungeni bali wanatumia facts ,na ni wanaharakati.



Kuna njia zaidi ya moja kutatua pingamizi/tatizo........ngumi zikiwemo!
 
Dogo ukitaka kunijibu unapaswa kunisoma kwa makini sana ndio utanielewa.
Nimekuelewa vizuri ndio Maana nikasema sheria ni sawa kwa wote kwani pale Sugu alipigwa na yeye akapiga Akiwa na Maana ya kijihami sasa iweje aliyejihami Ndio anashitakiwa?wote wamepigana hadhalani kama ni mashitaka wote washitakiane yaani sugu awashitaki polisi kwa kumpiga na wao wamshitaki kwa kuwapiga japo yy alikuwa akijihami
 
Speaker Msekwa aliandika kirefu kuhusu "Parliamentary Privileges" hapa http://www.parliament.go.tz/docs/ParliaPrivillege.pdf

Also,

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Madaraka na Haki za Bunge Uhuru wa majadiliano na utaratibu wa shughuli
Sheria ya 1984 Na.15 ib.14

100.-(1) Kutakuwa na uhuru wa mawazo, majadiliano na utaratibu katika Bunge na uhuru huo hautavunjwa wala kuhojiwa
na chombo chochote katika Jamhuri ya Muungano, au katika Mahakama au mahali penginepo nje ya Bunge.

(2) Bila ya kuahiri Katiba hii au masharti ya sheria nyingine yoyote inayohusika, Mbunge yeyote hatashtakiwa au kufunguliwa
shauri la madai mahakamani kutokana na jambo lolote alilolisema au kulifanya ndani ya Bunge au alilolileta Bungeni kwa njia ya
maombi, muswada, hoja au vinginevyo.
 
Hawa vijana waangalie sana umaarufu wanaoutafuta
utawaponza; chama ongea na vijana wako.




Heeee.....we'vipi,mbona kaka Jose ni maarufu tangu yuko“sperm"!!!hata kabla wewe hujatoka tongotongo ukaja mjini!!!
 
Last edited by a moderator:
Wameshawahi kukuomba chakula mkuu unaweza ku prove njaa yao au umeshakula kitu cha malawi?
ukiwa na gari tu ni rahisi kuiona njaa yao.hii ni njia rahisi zaidi ya kuona njaa ya policcm.
 
kwanza ngowile anawaambia makamanda nashangaa makasembe sijui yametokea wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom