Kinga ni ndani ya bunge sugu kampiga askari nje ya bunge haki sawa kwa wote
Makamanda leo Mh.Sugu anapelekwa mahakamani mkoani Dodoma. Ikumbukwe kuwa Sugu anakabiliwa na shitaka la kumtishia kumpiga askari polisi bungeni.
Updates: Sugu karudishwa kwa RCO. RCO anasema uchunguzi haujakamilika kwa hiyo SUGU kaachiwa kwa dhamana hadi hapo atakapoitwa tena.
Updates: Katika kuongea na waandishi wa habari Lisu amesema ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba.
umechukia sana ehh??
"ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba" by Advocate Tundu Lissu.
CCM ni Mavi...
Lisu asijifanye anajua sheria,aache ukichaa wake hivi unaweza ukatenda jinai na kubaki salama kwa madai ya kinga ya bunge,kwa mfano ikitokea mbunge amemchoma mwenzake kisu mdani ya bunge na kumuua,eti hatashitakiwa kw king ya bunge?
We -------- kweli kwani akiitwa bibi ndio itampunguzia nini?
Sugu moto chini.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
CDM inadekezwa sana!!
Ccm hakuna anayetafuta umaarufu mkuu umechanganya mambo. Ccm ni dume la mbegu halina haja kujitangaza hata kidogo kila mwenye shida hujileta mwenyewe.
We dogo control kajogoo kako, Chadema bado hajavunja ungo, usijefungwa miaka 30 kwa kubaka!!
Kwani alipigwa ndani ya bunge?
Sasa Kama kampiga Askari! Mbona Kosa aliloshtakiwa nalo ni KUMTISHIA KUMPIGA ASKARI????
Siku hizi mnaita kahawa hahaahaaa, alafu huzipeleki mwenyewe siku hizi unawatumia akina kayumba.Kamanda unaniuliza hayo maswali kwani mie polisi? Mie muuza kahawa tu.
Hv kweli askari anaweza kupigwa na raia? Basi hatuna askari ila wauza sura, na wapigwe tu, mimi nasema wapigeni.
kujadili sugu mvuta bangi ni kupoteza muda, sugu ni mvuta ganjaaaa