SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

Status
Not open for further replies.
Hizi kesi za kukurupuka baada ya kupewa vimemo toka lumumba huwa zinadondokea pua tu...hakuna kesi hapa Sugu anapeta kiulaini!
 
Taarifa za hv punde, ofc ya RCO yashindwa kupeleka jalada la sugu mahakamani,
 
Bora ya Sugu mara mia kuliko kina Mwigulu....
 
Tundu Lisu na makada wengine watawanyika mbele ya ofc ya RCO baada ya RCO kushindwa kupeleka jalada mahakamani
 
wema uliye mtanzania na ukapata elimu zote
unaisaidiaje nchi yako; zaidi ya kutoa maneno machafu
ya kashfa na dharau kama haya;
mtaacha lini kuleta maneno ya vijiweni humu jamvini.

Ritz huyu nawasiwasi nae anaweza kuwa mrwanda aliokosa hata elimu ya msingi kwasababu ya vita vilio tokea nchini kwao na yeye alikuwa on the run sasa hata shule hakupata nafasi sasa yupo tanzania kazi yake kupost utumbo na comments zake hazina kichwa wala miguu na nijanga kwa jamii
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kesi.......zaid labda kama wanataka ifanyike ziara tu yakukagua majengo mahakama ili kero zao ziwasilishwe bungeni!!!
 
Hii ndio tanzania,,,lakini ndugai si kaisha wasamehe bila kuwapeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge,,,,sasa police wanataka nini tena.
 
Another silly political mistakes-from CCM
 
wema uliye mtanzania na ukapata elimu zote
unaisaidiaje nchi yako; zaidi ya kutoa maneno machafu
ya kashfa na dharau kama haya;
mtaacha lini kuleta maneno ya vijiweni humu jamvini.

Jina lako tu linatosha kukutambua wewe nimtu waaina gani thinking capacity yako ni ndogo sana ushukuru kuwepo kwa JF mnapata elimu ya bure naona hata wewe umeku advanced unaweza hata kutoa comments hapa
 
Last edited by a moderator:
Sugu siyo maarufu kama unavyofikiri;
Sugu anakubalika tu kwenye kundi la vijana hasa wale
wanaopenda muziki wa hip hop;

Namfahamu sana sugu; mahali pa heshima nitampa
na akifanya tofauti nitamsema bila hata kumumunya maneno.

unamfahamu sana Sugu? Kwa hiyo na wewe ni kijana wa hip hop!
 
Utaponzwa wewe na kutokujitambua kwako;
bibi nilikuzalia baba au mama yako
haaaa ukiwa huku acha kutafuna majani
simama na akili yako we vipi
copy: chama

Nilikuwa nasoma post zako lakini kwa kushabikia Mafisiemu sitosoma tena post zako! Hasa ukijua wazi kua Wapinzani na Sugu akiwemo wanatetea swala la Katba mpya kwa maslahi ya taifa Alafu wewe unaleta ufisiemu kwenye maswala ya kitaifa! Yani Nimekuona wa Hovyo na uangalie unazeeka vibaya! Angalia uzeeni usije ukawa Kigagula!
 
Last edited by a moderator:
Aliyekutuma uwe unazisoma ni nani;
Nilikuwa nasoma post zako lakini kwa kushabikia Mafisiemu sitosoma tena post zako! Hasa ukijua wazi kua Wapinzani na Sugu akiwemo wanatetea swala la Katba mpya kwa maslahi ya taifa Alafu wewe unaleta ufisiemu kwenye maswala ya kitaifa! Yani Nimekuona wa Hovyo na uangalie unazeeka vibaya! Angalia uzeeni usije ukawa Kigagula![/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom