Naona mnamshambulia mleta uzi kwa kuwa labda wengi hatujui mifumo ya Elimu ktk vyuo vyetu, na pia mleta mada hajaweka vzr points zake. Kuna vyuo hapa bongo 3rd year wanafanya project, ukifeli hiyo project haina supplimentary, unakuja kuiridia mwaka unaofuata 2nd semester, so ukakae home mwaka mzima, upambane kivyako, na ukija kuiridia ukifel tena ni DISCONTINUATION, end of story. so, hiiv vitu vipo sana tu. kuna vyuo pia ukiwa na jumla ya supplementary nne, at any time ni DISCONTINUATION, yaan mfano 1st year una sup 2 ukashindwa kuzitoa, ukaja 2nd year ukapata zingine 2 na zile 2 jumla 4 off u go, hata kama una GPA ya 2.9. so, kuna systema nyingi ambazo sio favaorable, tusibishe bila hoja