Suala la kudisco vyuoni Tanzania

Basi alikudanganya,iko hivi kwa vyuo vya bongo ukiwa na GPA ya 1.8 utaruhusiwa kufanya sup chini ya hapo unadisco,na baada ya sup GPA yako itakiwa kuwa 2.0kupanda ,chini ya hapo ni disco,kama una 2.0 lakini bado kuna masomo,hukupata pass basi unarudia mwaka,kwa mfumo huo hata kama soma lina point nyingi bado huwezi kudisco,kwa vyuo vingi masomo huwa 7-12 kwa semester moja,hata kama utapata ziro masomo mawili bado GPA yako haiwezi kuwa chini ya 1.8,elimu ya bongo kweli inamatatizo lakini sio kwa kiwango hicho,huo ni uongo
Ukweli
 
Hakuna disco inayoweza kutokea mpka mwanafunzi awe na below gpa kwa mfano below 1.8 hiyo ni disco na haiwezi kutokea kwa kufeli somo moja, hiyo ya jamaa yako kufeli somo moja then mtu adisco bila kufanya supplimentary, bila carry over sijui imekuaje
GPA yoyote utakayoipata kama ukishindwa kuchomoa carry over ya somo moja unaondoka chuoni
 
GPA yoyote utakayoipata kama ukishindwa kuchomoa carry over ya somo moja unaondoka chuoni
Chuo gani hicho maana chuo kikongwe UDSM carry ni miaka mitano ukishindwa ndio una disco... Na haiwezekani mtu ufeli course moja udisco.
 
Chuo gani hicho maana chuo kikongwe UDSM carry ni miaka mitano ukishindwa ndio una disco... Na haiwezekani mtu ufeli course moja udisco.
UDOM watu wanaondoka kisa kushinda kuchomoa carry over..
Ukishindwa kufikisha passmark ya somo una pata sup usipochomoa sup unacarry kusipochomoa carry unaenda kwenu
 
Huyo labda alishikwa na kikaratasi, hakukwambia ukweli kwenye vyuo vingi tz huwezi kudisco kwa somo moja utaishia kucarry tu ila ku abscond kunatokea kama hukufanya mtihani bila sababu ya msingi.
Anaweza ku_disco kwa hilo somo moja endapo ata_carry mpaka mwaka wa tatu wenzake wakahitimu... atapewa chance 2 za mwisho kama mwanafunzi wa nje na baada ya hapo akishidwa anakuwa anedisco. Applicable in muhas, mzumbe and e.t.c
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho cha kudisco kwa kufeli somo moja au kufeli semester moja tu hakumfanyi mtu kudisco.
Huyo jamaa yako akueleze vizuri kuhusu kilichomfanya adisco kwa kile unachookiita kufeli somo moja.

Kuna sheria inasema kuwa mwanafunzi asipofanya mtihani bila sababu maalumu basi mwanafunzi huyo atakuwa amedisco. Hata kama una A zote kwa miaka yote ikatokea usifanye mtihani(test au UE) halafu kwenye matokeo ukaandikiwa INCOMPLETE bila kutolewa maelezo na sababu zinazokubalika basi hiyo INCOMPLETE itakufanya udisco.

Vinginevyo vijana wengine mmekuwa mkidisco vyuoni halafu mnasingizia wahadhiri wamewadiscotisha makusudi kumbe either uwezo wako ulizidiwa au kuna uzembe wako binafsi.
Kufeli pia ni sehemu ya maisha hivyo tuweni wakweli tu inapotokea.
 
Jamaa ananikumbusha nilivyo Disco

Jikaze siyo mwisho wa maisha
Kudisco ni baada ya mbinu zote za kukusaidia kushindikana au kushindwa kuwasilisha Report ya research
Ama kutokufanya UE
Hapo hauchomoi
 
GPA yoyote utakayoipata kama ukishindwa kuchomoa carry over ya somo moja unaondoka chuoni
Ningependa kufahamu sheria hii iko chuo gani kwa hapa Tanzania?

Kwa ninavyofahamu hata kama una carryover ukimaliza miaka yako ya masomo mfano labda mitatu au minne basi una miaka miwili ya ziada ya kuhakikisha umeclear hiyo carryover yako, ukishindwa ndani ya miaka hiyo ya nyongeza basi utakuwa umeshadisco.
 
ARDHI University
Kama sheria hiyo haimpi mtu nafasi ya kucarry kozi kipindi chote cha masomo yake+mda wa nyongeza baada ya kuisha mda wa darasani basi watu wengi sana wangekuwa hawamalizi shule.
Maana kucarry kozi huwa kunawakumba wanafunzi wengi tu.
 
Kama sheria hiyo haimpi mtu nafasi ya kucarry kozi kipindi chote cha masomo yake+mda wa nyongeza baada ya kuisha mda wa darasani basi watu wengi sana wangekuwa hawamalizi shule.
Maana kucarry kozi huwa kunawakumba wanafunzi wengi tu.
Unacarry kipindi chote cha masomo?
Labda kama wamebadili sheria
Na wala si watu wengi wangedisco kwa kuwa watu wengi huchomoa sup

Ukifeli supplementary unarudia kulisoma somo na mwaka wa nyuma yako,
Unaingia UE na Ukifeli ndo mwisho wako
 
Unacarry kipindi chote cha masomo?
Labda kama wamebadili sheria
Na wala si watu wengi wangedisco kwa kuwa watu wengi huchomoa sup

Ukifeli supplementary unarudia kulisoma somo na mwaka wa nyuma yako,
Unaingia UE na Ukifeli ndo mwisho wako
Ok.
 
Ningependa kufahamu sheria hii iko chuo gani kwa hapa Tanzania?

Kwa ninavyofahamu hata kama una carryover ukimaliza miaka yako ya masomo mfano labda mitatu au minne basi una miaka miwili ya ziada ya kuhakikisha umeclear hiyo carryover yako, ukishindwa ndani ya miaka hiyo ya nyongeza basi utakuwa umeshadisco.
UDOM..
Halafu upande wa MUHAS ukipata sup 3 unadisco chuo automatically hata kama ni semester ya 1 na watu wanaondoka kweli
 
Kama sheria hiyo haimpi mtu nafasi ya kucarry kozi kipindi chote cha masomo yake+mda wa nyongeza baada ya kuisha mda wa darasani basi watu wengi sana wangekuwa hawamalizi shule.
Maana kucarry kozi huwa kunawakumba wanafunzi wengi tu.
Hakuna sheria ya hivyo mkuu..
Labda ulisoma enzi hizo.. sasa hivi ukishinda kufaulu carryover unaondoka chuoni siku hio hio
 
Yani katika vitu nisivyvielewa hapa duniani tena Tanzania ni swala zima la kudisco MTU anafaulu semester zote halafu anafeli somo moja semester ya mwisho eti anaambiwa amedisco na haruhusiwi omba hiyo course for 3 years au akaanze mwaka Wa kwanza . Mimi hapo sijaelewa hivi somo moja nifute performance ya MTU ya miaka 3. Hivi Nina uhakika maprof wa bongo wamesoma nje wanaelewa system zipoje hivi wanashindwa badilisha huu ujinga. Kwanza hii system inafanya Prof awemungu MTU aamue kufelisha watu au kutaka kuchukua rushwa . naandika hayo baada ya rafiki yangu tuliyesoma,nae high school yeye kuanza first year wakati wenzake tunamaliza,masters.
Namahukuru mungu elimu yangu ya chuo sikusoma bongo na sitokuja soma bongo labda kufundisha.
Tujadiliane kuhusu hili LA kudisco

Ni kweli kudisco ni gharama na haifurahishi. Sasa tuje kwa hii case uliyoeleza hapa-taarifa ulizotoa mkuu hazijitoshelezi kujua nini kimetokea. Siamini kama inawezekana mtu kufeli somo moja tu (mwaka au semester yeyote) na chuo kimpige disco. Kuna vyuo hapa nchini ukidisco huwezi kuendelea na program ile ile hadi ipite hiyo miaka 3. Ukitaka unaweza kubadilisha program. Huyo rafiki yako kuna kitu hajakuambia na pia hujatutajia ni chuo gani alichodisco tuchimbe zaidi.
Kila chuo kina sheria zake, na pia inawezekana pia kina degree ina sheria zake. Nitakupa mfano wa BVM-Bachelor of Veterinary Medicine, kule ukifeli kwa kiwango fulani una ruhusiwa ku-sapu (unakula probation), kama umefeli kwa kiwango cha juu ya hapo unakula disco. Ukisapu halafu ukafeli tuseme somo moja au mawili hakuna kwenda mwaka ujao bali una retake hilo somo ama kwa kuhudhuria darasani au kwa kuja kufanya mtihani tu (huingii darasa lifuatalo). Ukifeli retake safari ya nyumbani, ukiclear ndio unakwenda mbele.BVM ni miaka 5 unapewa miaka hadi 7 kumaliza.
Huo ulio ita ujinga kumbuka umetokea huko huko unako kusifu. Chuo cha kwanza Afrika Mashariki ni Makerere kilichokua kikifuata sheria za University of London. Pili si rahisi kwa Professa mmoja kukupiga disco-kuna vikao vya idara, college na hatimaye Senate. Kama una dhani umefelishwa-basi una appeal na paper yako itasahihishwa tena. Sikatai inawezekana mwalimu mmoja akakuletea figisu figisu lakini kufikia level ya kudisco kunakuwa na mengi zaidi.
 
duu mimi nimeipenda hiyo Germany System.Ingepitishwa hapa bongo mzee baba mie najiunga zangu BA in Economics mwaka wa kawanza naanzia ST Augustine Semester ya kwanza.Nanyanyuka na A-6 nahamia Semester ya Pili Tumanini University Napata A-5 na B+-1 Najumuisha mwaka mzima Napata 4.9 GPA. Mwaka wa pili nahamia Mzumbe Morogoro Semester ya kwanza Napata A-5 narudi Semester ya pili Tumaini Naitafuta B+1 na A-5 hapo mwaka mzima nakuwa na 4.9 .Mwaka wa tatu narudi Tumaini nazikamata A-6 SEMESTER ya kwanza na semester ya mwisho naenda UDSM najua pale mwaka wa mwisho BA economics huwa wanapitiaga kipindi kigumu mno kwa sababu pale kuna mkono wa DR KARAMAGI,PROF NEHEMIA OSORO,PROF AMANI NA PROF MKENDA kwa hiyo nahamua kujitutumua nakanyaga B+1 B-1 na C-4 sasa hapo mzee baba ukijumlisha nakuwa na GPA ya 3.5 kwa mwaka wa mwisho hapo hapo napeleka points zangu TCU wakanijumlishie kwenye Cumulative GPA kwa Degree yangu nakuwa na GPA ya 4.4 mzee hiyo hapo nakamata First Class kiulainiiiiiiii naanza kumtafuat mzee Jiwe anipeleke BOT moja kwa moja maana ntakuwa kwenye Range za akina Martini Chegere
 
duu mimi nimeipenda hiyo Germany System.Ingepitishwa hapa bongo mzee baba mie najiunga zangu BA in Economics mwaka wa kawanza naanzia ST Augustine Semester ya kwanza.Nanyanyuka na A-6 nahamia Semester ya Pili Tumanini University Napata A-5 na B+-1 Najumuisha mwaka mzima Napata 4.9 GPA. Mwaka wa pili nahamia Mzumbe Morogoro Semester ya kwanza Napata A-5 narudi Semester ya pili Tumaini Naitafuta B+1 na A-5 hapo mwaka mzima nakuwa na 4.9 .Mwaka wa tatu narudi Tumaini nazikamata A-6 SEMESTER ya kwanza na semester ya mwisho naenda UDSM najua pale mwaka wa mwisho BA economics huwa wanapitiaga kipindi kigumu mno kwa sababu pale kuna mkono wa DR KARAMAGI,PROF NEHEMIA OSORO,PROF AMANI NA PROF MKENDA kwa hiyo nahamua kujitutumua nakanyaga B+1 B-1 na C-4 sasa hapo mzee baba ukijumlisha nakuwa na GPA ya 3.5 kwa mwaka wa mwisho hapo hapo napeleka points zangu TCU wakanijumlishie kwenye Cumulative GPA kwa Degree yangu nakuwa na GPA ya 4.4 mzee hiyo hapo nakamata First Class kiulainiiiiiiii naanza kumtafuat mzee Jiwe anipeleke BOT moja kwa moja maana ntakuwa kwenye Range za akina Martini Chegere
Germany unaruhusiwa soma semester 8-10 for masters after that ndo utaambiwa uanze lipia ada maana wewe unachezea pesa za walipa kodi
 
duu mimi nimeipenda hiyo Germany System.Ingepitishwa hapa bongo mzee baba mie najiunga zangu BA in Economics mwaka wa kawanza naanzia ST Augustine Semester ya kwanza.Nanyanyuka na A-6 nahamia Semester ya Pili Tumanini University Napata A-5 na B+-1 Najumuisha mwaka mzima Napata 4.9 GPA. Mwaka wa pili nahamia Mzumbe Morogoro Semester ya kwanza Napata A-5 narudi Semester ya pili Tumaini Naitafuta B+1 na A-5 hapo mwaka mzima nakuwa na 4.9 .Mwaka wa tatu narudi Tumaini nazikamata A-6 SEMESTER ya kwanza na semester ya mwisho naenda UDSM najua pale mwaka wa mwisho BA economics huwa wanapitiaga kipindi kigumu mno kwa sababu pale kuna mkono wa DR KARAMAGI,PROF NEHEMIA OSORO,PROF AMANI NA PROF MKENDA kwa hiyo nahamua kujitutumua nakanyaga B+1 B-1 na C-4 sasa hapo mzee baba ukijumlisha nakuwa na GPA ya 3.5 kwa mwaka wa mwisho hapo hapo napeleka points zangu TCU wakanijumlishie kwenye Cumulative GPA kwa Degree yangu nakuwa na GPA ya 4.4 mzee hiyo hapo nakamata First Class kiulainiiiiiiii naanza kumtafuat mzee Jiwe anipeleke BOT moja kwa moja maana ntakuwa kwenye Range za akina Martini Chegere
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza.......
 
Hakuna disco inayoweza kutokea mpka mwanafunzi awe na below gpa kwa mfano below 1.8 hiyo ni disco na haiwezi kutokea kwa kufeli somo moja, hiyo ya jamaa yako kufeli somo moja then mtu adisco bila kufanya supplimentary, bila carry over sijui imekuaje
Sio kweli mkuu...muhimbili university ukipata 3 sups hata use na 3.5 GPA unatembea kwenu...for first and second year school of Md.....sio mchezo ndg
 
Back
Top Bottom