Suala la kudisco vyuoni Tanzania

Suala la kudisco vyuoni Tanzania

Naomba msimbishie sana mtoa mada. Nataka niwape mfano mzuri.

Ardhi University carry ni moja tu ukishindwa kuchomoa hakuna chance nyingine ya ku carry hapo ni nyumbani haijalishi upo mwaka wa ngapi nyumbani utaenda. Sasa somo moja linakupeleka nyumbani vizuri tu. Utaratibu upo hivi.

1)Supp ukishindwa kuchomoa carry over.
2)Carry over ukishindwa kuchomoa utaifanya kama sup maana yake ni supp ya carry over.
3) Ukishindwa kuchomoa hii supp ya carry over umeenda nyumbani.

Kumbuka mchakato huu wote unaweza kuhusisha somo moja na ukaenda nyumbani. Hii ni sababu nyingine ya Academic ukiacha below GPA 2.0 inayoweza kukurudisha nyumbani.

Mtoa mada anaweza kua sahihi kwa sababu hizi taratibu za vyuo zinatofautiana sana.
 
Naombeni ushauri jamani..mm nimwnafnzi wa udom 1yrs..ad sasa nina carryover under16 mbili na sup 3.matokeo ya semester ya pili bado ayajatoka..but kwa hari hii nakata tamaa kabisa nahisi kudisco.
Kama una uwezo nakushauri apply chuo kingine mapema tu.hapo hutoboi mkuu..
 
Naombeni ushauri jamani..mm nimwnafnzi wa udom 1yrs..ad sasa nina carryover under16 mbili na sup 3.matokeo ya semester ya pili bado ayajatoka..but kwa hari hii nakata tamaa kabisa nahisi kudisco.
Ilo ni disco la mchana kweupee......
 
Naombeni ushauri jamani..mm nimwnafnzi wa udom 1yrs..ad sasa nina carryover under16 mbili na sup 3.matokeo ya semester ya pili bado ayajatoka..but kwa hari hii nakata tamaa kabisa nahisi kudisco.
We itakuwa mtu wa Bata sana
 
Naombeni ushauri jamani..mm nimwnafnzi wa udom 1yrs..ad sasa nina carryover under16 mbili na sup 3.matokeo ya semester ya pili bado ayajatoka..but kwa hari hii nakata tamaa kabisa nahisi kudisco.
Acha uoga dogo,muombe Mungu,yaani piga Swala au Sala,za kutosha,ukimaliza weka mashaka pembemi piga shule,unachopitia mtiani mdogo sana,utatusua tu.piga shule,maisha sio lelemama,sasa wewe unalialia upo Chuoni,Kuna vijana hawatakuja kujua nini maana ya chuo kikuu,wao na uzao wao,chakula tu shida.piga shule,maliza masomo,Kama mtoto wa kiume pambana sana,Kama ni wa kike ndio upamabane maradufu,dunia ya leo Haina simile kwa binti asiye na mwelekeo,it's fucking jungle out here!
 
Atapewa barua, kisha atapeleka tcu watamtoa kwenye mfumo
Wakuu KWA mfano huo had akapate barua ya kupeleka TCU sio leo I mean lazma atasubir had matokeo yatoke na yakitoka Kama haja disco bas haez pata had aandike barua ya kuomba kujifuta chuo alaf ije ijibiwe sio kazi ndogo itachukua hata mwezi Sasa huo mwezi s round zote zinakua zishaisha za kuomba chuo. Nasema hivi kwasababu m mwenyew nilikua muhanga wa hayo
 
Wakuu KWA mfano huo had akapate barua ya kupeleka TCU sio leo I mean lazma atasubir had matokeo yatoke na yakitoka Kama haja disco bas haez pata had aandike barua ya kuomba kujifuta chuo alaf ije ijibiwe sio kazi ndogo itachukua hata mwezi Sasa huo mwezi s round zote zinakua zishaisha za kuomba chuo. Nasema hivi kwasababu m mwenyew nilikua muhanga wa hayo
Hapana mkuu haifiki hata wiki ,kuna jamaa yangu alidisco mwaka 2018 tuko field, akafanya mchakato huo huo mwaka akapata chuo
 
Wakuu KWA mfano huo had akapate barua ya kupeleka TCU sio leo I mean lazma atasubir had matokeo yatoke na yakitoka Kama haja disco bas haez pata had aandike barua ya kuomba kujifuta chuo alaf ije ijibiwe sio kazi ndogo itachukua hata mwezi Sasa huo mwezi s round zote zinakua zishaisha za kuomba chuo. Nasema hivi kwasababu m mwenyew nilikua muhanga wa hayo
Barua unachukua chuoni unakuta imeshaandaliwa kabisa nikupachika tu jina, kisha unawapelekea tcu wanakutoa kwenye system. Ila mkopo ndio Hatopata helsb.

Hii ishu hata kama ulipangiwa chuo, hutaki kwenda lazima ukachukue barua, upeleke tcu wakutoe. Ili mwaka unaofata uapply kama member mpya
 
Mzumbe navojua mm kuwa na sapu mwisho 3 tu, zikifika 4 ni dsicontinuation, yaan at any time of ur studies sapu zisidi 3, na sapu zinafanyika once a year, so ukashinda kuchomoa uka-carry ukija kuchangaya na za mwaka ujao zikifika 4 kwaheri hata kama GPA ni 3
Unadhani system hii ni sahihi? Inasaidia ama inadumaza elimu yetu Tanzania?
 
Back
Top Bottom