Sasa nakwambia tometoka nae high school kibahaUnahakika huyo mshikaji wako ni Mwanafunzi wa chuo kweli?
Mdadisi vizuri, Kuna info hajakupaSasa nakwambia tometoka nae high school kibaha
...hujaelewekaHakuna kitu kama hicho labda kama ni disco abscond
...yaani umeonesha wivu na chuki dhidi ya mtu ambaye amepiga hatua, na ndo kitu kinachosababisha tusiendelee, suala la kudisco kiukweli ni tatizo, regardless u r given a chance to supplement.Huu ndo ukweli, tatizo huyu jamaa inaonekana hana ufahamu juu ya taratibu za vyuo vikuu. Hii kusema ana master ni kujisifia ila nadhani ndiye aliyefeli na kwa uandishi wenye uelewa wa namna hii naona alistahili.
It doesn't matter, students should be given a chance to try n try, this is a human natureHiyo semister moja alifeli masomo mangapi na alipata gpa ya ngapi
Ukoloni mamboleo utatutafuna sana piga taswira wanafunzi wa bongo wanavyo teseka katika ngazi zote.Walimu wa bongo wanakomaa kama vile unaugomvi nao mfano unaulizwa swali kwa kuficha maana halisi ili upotoke!!
ili mradi kukomoana tuuu..Hii haiko applicable kwa vyuo vyote, kwa mfano Mzumbe ukiwa na supp 3 au 4 kwa mwaka hata kama una gpa above 1.8 unadisco, muhas hivyo hivyo, udom wanatumia 1.8Hakuna disco inayoweza kutokea mpka mwanafunzi awe na below gpa kwa mfano below 1.8 hiyo ni disco na haiwezi kutokea kwa kufeli somo moja, hiyo ya jamaa yako kufeli somo moja then mtu adisco bila kufanya supplimentary, bila carry over sijui imekuaje
Yani inakuwa kama adhabu eti asiapply hiyo course for 3 years halafu aanze first year. Hii inafanya prof awe na nguvu juu ya future ya,wanafunzi maana akikufelisha unaanza upyaIt doesn't matter, students should be given a chance to try n try, this is a human nature
Let them try n try, in life tumeona watu wakijaribu na kujaribu na kujaribu mpaka wanafanikiwa, na tunashauriwa tusikate tamaa, so why this policy should not be applied in academic sectors? Ingawa siyo kwa vyuo vyote
Mkuu ungeuliza na kufanya utafiti kwanza ndo uje kutuandikia haya, kwanini umeamua kuudanganya uma wa wana JF?Yani katika vitu nisivyvielewa hapa duniani tena Tanzania ni swala zima la kudisco MTU anafaulu semester zote halafu anafeli somo moja semester ya mwisho eti anaambiwa amedisco na haruhusiwi omba hiyo course for 3 years au akaanze mwaka Wa kwanza . Mimi hapo sijaelewa hivi somo moja nifute performance ya MTU ya miaka 3. Hivi Nina uhakika maprof wa bongo wamesoma nje wanaelewa system zipoje hivi wanashindwa badilisha huu ujinga. Kwanza hii system inafanya Prof awemungu MTU aamue kufelisha watu au kutaka kuchukua rushwa . naandika hayo baada ya rafiki yangu tuliyesoma,nae high school yeye kuanza first year wakati wenzake tunamaliza,masters.
Namahukuru mungu elimu yangu ya chuo sikusoma bongo na sitokuja soma bongo labda kufundisha.
Tujadiliane kuhusu hili LA kudisco
==============================
UPDATE:
Ngoja niwaelezee system niliyosomea maana watu wananiandama kama Mimi ndo muhusika
Bachelor's nimetumia French education system ambayo kila mwaka unajitegemea l1,l2,l3 so unaweza soma mpaka mwaka Wa pili ukasitisha masomo ukakaa kita kama miaka 2 then ukarudi shule ukaendela l3 au ukahama chuo kabisa . na certificate unaweza omba each year hivyo hivyo kwenye masters
My masters natumia German education system IPO tofauti jua tu unaweza soma kila semester chuo chake na ukapata degree huku ni mwendo Wa semesters.
=========================
Kinachoniuma ni hizo disco za bongo zinatia taifa hasara Sana
Wale ambao hayakuwakuta huwa wanajiona wajanja, kama huyo aliye comment hapo juu. Eti ukiwajibika ipasavyo huwezi ku disco, kuna watu wengine wana akili ya kuvukia barabara tuHii imewahi nitokea tena mwalimu alikuwa na masomo semister mbili yote kisa demu ambae hata sikuwa na mpango nae
Basi alikudanganya,iko hivi kwa vyuo vya bongo ukiwa na GPA ya 1.8 utaruhusiwa kufanya sup chini ya hapo unadisco,na baada ya sup GPA yako itakiwa kuwa 2.0kupanda ,chini ya hapo ni disco,kama una 2.0 lakini bado kuna masomo,hukupata pass basi unarudia mwaka,kwa mfumo huo hata kama soma lina point nyingi bado huwezi kudisco,kwa vyuo vingi masomo huwa 7-12 kwa semester moja,hata kama utapata ziro masomo mawili bado GPA yako haiwezi kuwa chini ya 1.8,elimu ya bongo kweli inamatatizo lakini sio kwa kiwango hicho,huo ni uongoSijakurupuka my friend ameanza mwaka Wa kwanza upya wakati wenzake tunamaliza Masters
kwa hiyo unadisco!Hii imewahi nitokea tena mwalimu alikuwa na masomo semister mbili yote kisa demu ambae hata sikuwa na mpango nae