Standing on business: Gwajima usiwe kama Ndugai!

Standing on business: Gwajima usiwe kama Ndugai!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,105
Reaction score
136,783
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Kujiuzuli was a form ya kuonyesha hakubaliani na hataki kuwa sehem ya tatizo.
Last time i check only viongoz wa ulaya wanafanya haya
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Ndugai alilazimishwa lilikuwa ni shinikizo lile na walianza kumfungia biashara zake ikiwemo Kituo cha mafuta
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Mkuu, Ndugai hakuwahi kujizuru, ila kwa public record tutaichukua hivyo ulivyoiweka
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Ule utaratibu wa Gwajima kujibu siku za jumapili kwenye jengo lake Bado upo?
Ningependa nikimsikia jumapili akijibu
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Namuona gwajima kama popo. Si ndege si mnyama. Ni popo atafutaye cha kupopoa. Ni njaa na uchawa vinavyomsumbua huyu
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Gwaji amewasha moto.....mabua, majani makavu, na vichaka vinawaka
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Ndungai aliomba radhi na kujiuzulu at gun point.
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
We msukule unayeweza kumshauri ni maiti tu, nakufahamu vizuri iko siku nitaku-expose ngedere we
 
atakuwa ni mjinga na mtu wa ajabu kama alikuwa hakujipanga, nina imani anajua anachokifanya vinginevyo asingefanya vile, kuna tofauti kubwa na Ndugai ambaye alikuwa spika wa Bunge ambapo ni wa 3 ktk uraisi kwa maana ya kwamba Ndugai kama spika kikatiba angeweza kuwa raisi nchi kama raisi, makamu wake labda wangefariki kwa pmj, hivyo ni ishu mbili tofauti kwa maoni yangu, Gwajima ni mbunge tu …
 
Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi.

Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa.

Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea.

Leo kuna Gwajima.

Niliiangalia presser yake yote.

Hoja zote alizozitoa ni halali kabisa. Kazungumza ukweli mtupu kuhusu mambo yanayoendelea.

Kakikosoa chama chake. Chama chake badala ya kujibu hoja, kimeanza kumshambulia yeye.

Hoja hujibiwa kwa hoja na si viroja.

Gwajima, don’t buckle. Don’t apologize. Stand on business.

You spoke the truth, the whole truth, and nothing but the truth. Don’t let them gaslight you.

Ni ada ya CCM kushambulia watoa hoja na si hoja walizozitoa.

Hata Horace Kolimba alipowakosoa kuwa hawana dira wala mwelekeo, walimshambulia yeye badala ya kile alichokisema.
Rais wa Tanzania ni Mungu.

Wakiamua kuruka na Gwajima hakuna Mtanzania atakaye mtetea Gwajima ni mdogo sana kama waliweza kuruka na padre wa RC sembuse Gwajima.
 
Back
Top Bottom