Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,495
- 7,993
Leo Juni 14, 2022 amesema Mwita Waitara ameshindwa kuthibitisha watu kuuawa jimboni kwake pia alibeza maamuzi ya Spika alipoipa Serikali siku 90 kuchunguza.
Waitara amekiuka kanuni ya 5 ya Bunge inayomtaka kukata rufaa kwa maandishi endapo hataridhika na maamuzi ya Spika badala yake akaenda kwenye vyombo vya habari.
Spika amesema kwa Mwita kusema Spika alikuwa Naibu Mwanasheria mkuu wa Serikali hawezi kujua sheria kuliko yeye.
Spika amesema adhabu iko wazi kanuni ya 84 imezungumzia utovu mkubwa lakini ameamua kumpa Onyo kali na Asirudie tena.
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara
Waitara amekiuka kanuni ya 5 ya Bunge inayomtaka kukata rufaa kwa maandishi endapo hataridhika na maamuzi ya Spika badala yake akaenda kwenye vyombo vya habari.
Spika amesema kwa Mwita kusema Spika alikuwa Naibu Mwanasheria mkuu wa Serikali hawezi kujua sheria kuliko yeye.
Spika amesema adhabu iko wazi kanuni ya 84 imezungumzia utovu mkubwa lakini ameamua kumpa Onyo kali na Asirudie tena.
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara