osward mambo
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 148
- 55
100%Tulishazungumza kuhusu ndugu zetu “WAGOGO” kuwa huenda genetically kuna kipengele katika brain zao na namna ya kufikiri!
100%Tulishazungumza kuhusu ndugu zetu “WAGOGO” kuwa huenda genetically kuna kipengele katika brain zao na namna ya kufikiri!
Itarudi parcelAkirudi india hawezi kurudi akiwa kwenye VIP class
Mazingira ya kwandamana sio rafiki, paka kuepo watu wanao heshimu haki za binadamu katiba ya nchi na wanao heshimu matakua ya wana nchi..........ndo uandamana lasivyo hao ma police ccm watakuumuza bure nakufungwa wakukutetea hamna.kwanini tusiandamane kama wananchi kushinikiza kuondolewa huu uhuni??
yaani mashabiki wa manchester wanatushinda wanaandamana kumtoa GLAZER ambaye ndiye mmiliki sisi tunamshindwa ndugai? malalamiko ya mtandaoni yanasaidia kweli?
Dah! Hapana mkuuUkute nawe ni mgogo
Tulishazungumza kuhusu ndugu zetu “WAGOGO” kuwa huenda genetically kuna kipengele katika brain zao na namna ya kufikiri!
heee ona hiliLazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!
Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Katika list yako hii ni Balisdya na Zawose tu ndiyo hawastahili kuwemo the rest ndiyo kama alivyosema jamaa.Mkuu, kumbuka Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Dr John Samwel Malecela, Lusinde Kibajaji, wasanii na wanamuziki kama marehemu Patrick Balisidya na hata marehemu Dr/Prof. Hugo Zawose na wengine kibao wote walikua ni Wagogo. Je na hao pia wanaingia katika fungu hilohilo ulilosema?
Anaumwa nini jamani?Huyo arudi India akatunie mabilioni mengine kwa matibabu! Naona hajapona
Tuwekee hapa pleaseKwani ile clip inayotembea akiwa anajisifu kuwa ana faili mirembe alimaanisha nini jamani ?
Dah nimefuta asubuhiTuwekee hapa please
NimeulizaTuwekee hapa please
Kama ulikuwepo!!!!!!Itarudi parcel
Mh Ndugai ,utaburuzwa mahakamani KWA kesi ya kikatiba shauri yako Kuna leo na kesho mh, hachana nao hao mkuuLeo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.
Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.
Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.
Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.
Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Kwahiyo kuwa mwanachama mtiifu wa CCM NI kusupport kila UJINGA?AISEENape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali). Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Stereotypes za kujumuisha wagogo kama kabila zima zinakufanya uonekane fala fulani.Tulishazungumza kuhusu ndugu zetu “WAGOGO” kuwa huenda genetically kuna kipengele katika brain zao na namna ya kufikiri!