Pale ambapo mgombea anazidiwa upeo na mpiga kuraAtakuwa anajuta kufanya kampeini za nyumba kwa nyumba mara baada ya jana kukutana na mzee anayejitambua.
Kapigwa maswali hadi anajitafuna tu bila kutoa majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo utuletee kipande cha video cha kuonesha gwajima akiondoka!
Unaonaje ukaenda kumuuliza yeye ili akupatie full details?Sasa ndo utuletee kipande cha video cha kuonesha gwajima akiondoka!
Umeonaeeeee? Jamaa alidhani atakuwa anawadanganya wapiga kura kama pale kanisani kwakePale ambapo mgombea anazidiwa upeo na mpiga kura
Wewe ndo utuletee full details , kwa vile ndo ulie leta video humu!
Gwajima sasa hivi naona atakuwa anajuta kabisaHuyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Unajauje mwisho wake ulikuwa mmbaya zaidi ya hiki tulichokiona?Mnamcheka Gwajima kwa kipande hicho cha video ambacho hakionyeshi mwisho waliishia vipi katika maongezi yao, yawezekana aliweza kumshawishi mzee na kukubaliana naye.
Hiki kipande mmenyofoa hakitoi picha halisi nini kiliendelea baina ya watu hawa wawili.
Alijua siasa ni kama yale mahubiri yake ya kitapeli, alizoea kuwadanganya waumini kwamba anajua kufufua misukuleUmeonaeeeee? Jamaa alidhani atakuwa anawadanganya wapiga kura kama pale kanisani kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu pumzika basi kidogoWewe ndo utuletee full details , kwa vile ndo ulie leta video humu!
Hakika ljamaa hajitambui kabisa kwenye mambo ya siasaAlijua siasa ni kama yale mahubiri yake ya kitapeli, alizoea kuwadanganya waumini kwamba anajua kufufua misukule
Tena anadai PhD yake alisoma nje ya nchi sikumbuki hata alitaja nchi gani,Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Mzee ana maswali ku¿husu bei ya Sukari.Je Mdee ana majibu yake?Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Aliwahi kusema JapanTena anadai PhD yake alisoma nje ya nchi sikumbuki hata alitaja nchi gani,
Labda lisoma chuo cha uganga wa kienyejiAliwahi kusema Japan
Hana cheti hata kimoja
Wanasema ukiwa muongo basi uwe na kumbukumbu nzuri
Ni tapeli
Hakuna kitu humo gwaji kachemka mie nimeitizama yote iko youtubeMnamcheka Gwajima kwa kipande hicho cha video ambacho hakionyeshi mwisho waliishia vipi katika maongezi yao, yawezekana aliweza kumshawishi mzee na kukubaliana naye.
Hiki kipande mmenyofoa hakitoi picha halisi nini kiliendelea baina ya watu hawa wawili.