Uchaguzi 2020 Special Thread: Harakati za kampeni za mgombea Ubunge Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima

Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
 
Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Gwajima sasa hivi naona atakuwa anajuta kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamcheka Gwajima kwa kipande hicho cha video ambacho hakionyeshi mwisho waliishia vipi katika maongezi yao, yawezekana aliweza kumshawishi mzee na kukubaliana naye.

Hiki kipande mmenyofoa hakitoi picha halisi nini kiliendelea baina ya watu hawa wawili.
Unajauje mwisho wake ulikuwa mmbaya zaidi ya hiki tulichokiona?
 
Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Tena anadai PhD yake alisoma nje ya nchi sikumbuki hata alitaja nchi gani,
 
Huyu ndiye mwenye phd hahahhh
Ataanikwa na kuabishwa na huu utakuwa mwisho wake hata kikanisa
Hili ni jasho la kawaida au kuna jambo maana si kwa iuvuja jasho kiasi kilo zimeanza kuzorota hofu ya nini
**Mdee nenda na speed ya ndege huyu usitumie nguvu kumhubiri au kumnanga zungumzia sera za chama waachie wana Kawe wadeal nae kwa mtindo huu.....Focus
Mzee ana maswali ku¿husu bei ya Sukari.Je Mdee ana majibu yake?
 
CDM inachopaswa kufanya kama itakavyokuwa ktk majimbo mengine, ni kulinda kura watakazopigiwa tarehe 28-10-2020, Gwajima asubuhi sana ni chali. Hapo pengine achotarajia ni tume kupindisha matokeo halisi.
 
Mnamcheka Gwajima kwa kipande hicho cha video ambacho hakionyeshi mwisho waliishia vipi katika maongezi yao, yawezekana aliweza kumshawishi mzee na kukubaliana naye.

Hiki kipande mmenyofoa hakitoi picha halisi nini kiliendelea baina ya watu hawa wawili.
Hakuna kitu humo gwaji kachemka mie nimeitizama yote iko youtube
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom