GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,575
- 108,931
Halafu Bishop Gwajima nasikia kwa sasa unaomba sana Mungu mpango wa Mamlaka (Serikali) kuligawa Jimbo la Kawe ambapo kutakuwa na Kawe A litakaloishia Afrikana au Mbuyuni na kuwe na Jimbo lingine la Kawe B ambalo litaanzia Tegeta kwa Ndevu na litakaloijumuisha hadi Mapinga ambayo taarifa za chini chini zinasema kwamba kuna mpango wa kuihamisha Mapinga, Mingoyo na Zinga yaliyoko katika Mkoa wa Pwani.
Bishop Gwajima nina taarifa za uhakika kutoka kwa Watu wako wa karibu kuwa unaombea mno hili lifanikiwe ili Ugombee huko Kawe B ambako Unakubalika sana kwakuwa ndiko ambako Umesaidia na Kupajenga zaidi (bila kusahau na Sala Sala wanakoishi Ndugu zako wengi) kuliko Kawe A inayojumuisha Oysterbay, Masaki, Kawe ya Mzimuni, ya Wadoe na ya Ukwamani, Goba, Mbezi Beach, Kunduchi, Bahari Beach na Ununio ambako wala hukubaliki kwakuwa Umewasusa sana katika kuwaletea Maendeleo na hata kutatua Kero zao.
Bishop Gwajima endapo Mpango huu wa Kuligawa Jimbo la Kawe hautakamilika GENTAMYCINE nakushauri mapema katika Uchaguzi Mkuu ujao (2025) wala usipoteze muda wako Kuchukua tena Fomu CCM ili Ugombee kwani hutopata na hutokuwa na Ubavu wa Kushindana na Mkongwe Mmoja, Kada Mwandamizi, Msomi mkubwa wa Kisheria, Tajiri na mwenye Ushawishi mkubwa kwa Watu kutokana na Fedha zake nyingi ambazo hazina Kazi kwa sasa baada ya Kuzichota mno.
Na ninapozipendea Siasa za Tanzania ni kwamba GENTAMYCINE naweza kuwa nimeishi na kuzaliwa mfano Bariadi Shinyanga huku kwa mfano huo huo naweza nikawa naishi Masaki lakini bado pamoja na Mimi kuwa ni mwana Bariadi niishiye Masaki lakini naweza kuamua Kugombea Ubunge wa Kawe kupitia CCM na bado nikashinda.
Bishop Gwajima nina taarifa za uhakika kutoka kwa Watu wako wa karibu kuwa unaombea mno hili lifanikiwe ili Ugombee huko Kawe B ambako Unakubalika sana kwakuwa ndiko ambako Umesaidia na Kupajenga zaidi (bila kusahau na Sala Sala wanakoishi Ndugu zako wengi) kuliko Kawe A inayojumuisha Oysterbay, Masaki, Kawe ya Mzimuni, ya Wadoe na ya Ukwamani, Goba, Mbezi Beach, Kunduchi, Bahari Beach na Ununio ambako wala hukubaliki kwakuwa Umewasusa sana katika kuwaletea Maendeleo na hata kutatua Kero zao.
Bishop Gwajima endapo Mpango huu wa Kuligawa Jimbo la Kawe hautakamilika GENTAMYCINE nakushauri mapema katika Uchaguzi Mkuu ujao (2025) wala usipoteze muda wako Kuchukua tena Fomu CCM ili Ugombee kwani hutopata na hutokuwa na Ubavu wa Kushindana na Mkongwe Mmoja, Kada Mwandamizi, Msomi mkubwa wa Kisheria, Tajiri na mwenye Ushawishi mkubwa kwa Watu kutokana na Fedha zake nyingi ambazo hazina Kazi kwa sasa baada ya Kuzichota mno.
Na ninapozipendea Siasa za Tanzania ni kwamba GENTAMYCINE naweza kuwa nimeishi na kuzaliwa mfano Bariadi Shinyanga huku kwa mfano huo huo naweza nikawa naishi Masaki lakini bado pamoja na Mimi kuwa ni mwana Bariadi niishiye Masaki lakini naweza kuamua Kugombea Ubunge wa Kawe kupitia CCM na bado nikashinda.