DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,960
- 11,431
Miaka inavyoenda Nigeria nao wanzidi kuwa wa Kawaida haiwezekani unajiita football nation unashindwa kufuzu kombe la dunia mara mbili mfulululizo... Mi hata kwenye mikeka hawa Nigeria nilishaacha kuwaweka.🤣🤣🤣 sahihi..
Master Gamondi atauweka mpira katikati kesho.
Sema Nigeria sio aggressive.
Siwaogopi.