uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 18,423
- 30,745
- Thread starter
- #301
Game ya jana walishikilia sana bomba.Kivipi??
Wakawa wanapiga sana back passes zikawaharibia.
Ndio Morocco wakapata nafasi za kuwafunga goli 2.
Kipindi cha kwanza walianza poa sana, wakafanya recovery sawa kabisa na za wa Morocco, kipindi cha pili wakawa hoi kidogo.