Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,191
- 138,536
Kwa hii mbugi nayotazama hapo. Hii timu ya Samia sijuiiii
Ku go wapiiKesho tunakiwashaaaaaa
Let's Go Tanzaniaa
Kubeba kombe letuKu go wapii
Kwani kuna kombe la wizi wa kura?Kubeba kombe letu
Habari za Kura zinaingiaje tena humu mkuu?Kwani kuna kombe la wizi wa kura?
Ngoja wafunge ndio utajua kama hii ni timu ya Taifa au ya SamiaHabari za Kura zinaingiaje tena humu mkuu?
Timu ni ya Taifa linaloongozwa na SamiaNgoja wafunge ndio utajua kama hii ni timu ya Taifa au ya Samia
Moremi anaipa South Africa goli la piliKuna mtu kasema South Africa atachukua ndoo, Mwingine akasema Sijui Nigeria, wengi wanataja vitimu vya ajabu ajabu... Mi nimeshawaambia Morocco atawakula wapumbavu watakaojilengesha... Kidogo wa kupishana na Morocco ni Senegal....
Morocco akiteleza walau Senegal kidogo anajua... Hao Vuvuzela hata Tanzania tukikaza vizuri pu..mbu tunaruka nao vizuri tu.
Safiii sanaMoremi anaipa South Africa goli la pili