Tupo jukwaa la michezo.🤣 🤣 afcon amna wahaini
Morocco wazuri zaidi mechi itakuwa poaVipi unawaonaje Mali wakikutana na Morocco?
Ngoja tuwaone South vs AngolaMorocco watachabanga hawa wote wawili atakayejitahidi ataambulia sare.
Hizi timu zina mapungufu mengi hasa katika kushambulia na kujilinda, wachezaji wa Mali hawajui kufanya maamuzi sahihi wanapokuwa golini kwa mpinzani.
south anashinda