Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
 

Attachments

  • Screenshot_20231010-234341_X.jpg
    Screenshot_20231010-234341_X.jpg
    219.4 KB · Views: 9
Hiyo mbona inajulikana kabisa na ni obvious Rais Dkt Samia a.k.a jembe letu, mzalendo wetu ni mpaka 2045, yaani akimaliza 10 hapo 2035 tutamuomba aongeze tena 10 atufikishe nchi ya ahadi 2045!

Wewe sio wa kwanza kujifanya unadhihaka. Alikuwepo Kessy na Nkamiah. Waliongea ujinga Kama wa kwako, ila leo hata bungeni hawapo na wamesahulika.
 
Naunga mkono hoja.

Ukiacha chuki binafsi za machadomo na Sukuma gang ambazo sio big deal ila bila unafiki hakuna Rais wa kabla anaweza mfikia Samia kwenye delivery ya mambo ya uchumi Hadi kijamii.

Kama wenye Nchi mnampima mtu Kwa matokeo basi Samia ndio mtu sahihi ila kama mnataka porojo na blaa blaaa mtambadilisha.

Punguza uongo. Rais Mkapa ndio Rais pekee aliyedhibiti mfumuko wa Bei kwa miaka kumi. Sio huyu wa kwenu, mafuta tu yanakaribia shilingi elfu nne kwa Lita.
 
Kwetu kulala nyumba za tembe ni kazi ya Rais kutujengea? Ungeuliza kwenu Kuna maji,Afya,Elimu,Barabara,kazi nk

Acha ujinga ndugu,bila chuki Samia ndio ameonesha utofauti mkubwa sana kulinganisha na watangulizi.Unataka ushahidi nikupe?

Ukianza kulinganisha Samiah na Marais waliopita utakuwa mjinga wa mwisho. Samia ni kama ametengenezewa kila kitu yeye ni kula na kuboresha.
 
Hata mimi najua hivyo, sbb urais ni miaka 10, awamu hii haikuwa ya Samia, ilikuwa ya JPM, ila akachukua madaraka sbb ya kufariki kwa JPM, awamu rasmi ya Urais itaanza 2025 na hapo itaenda 10 yrs up to 2035, nadhani hakuna tatizo hapo

Nyie ndio mnafanya mchakato wa Katiba uchelewe. Kasome katiba Ibara ya 37 (4). Ukishika madaraka baada ya kifo Cha Rais kwa kipindi kinachozidi miaka mitatu, utaruhusiwa kugombea Tena kwa miaka mitano tu.
 
Ukianza kulinganisha Samiah na Marais waliopita utakuwa mjinga wa mwisho. Samia ni kama ametengenezewa kila kitu yeye ni kula na kuboresha.
Wewe ndio mjinga, kwenye Nchi hakunaga kutengenezewa maana mahitaji ya wakati ni tofauti na idadi ya watu inaongezeka Kwa hiyo hakuna kitu kama kutengenezewa Kila kitu.
 
Back
Top Bottom