Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
Pia soma: KWELI - Makamu wa Rais akishika kiti cha urais kwa kipindi kinachozidi miaka mitatu ataruhusiwa kugombea kipindi kimoja tu
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
Pia soma: KWELI - Makamu wa Rais akishika kiti cha urais kwa kipindi kinachozidi miaka mitatu ataruhusiwa kugombea kipindi kimoja tu