Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Huyo ni sophia mjema je wewe unasemaje hakuna dalili ya lissu au mdude au chadema kushika dola tupe msimamo si kwa furaha hiyo!
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Hata Jiwe alikua anajiandaa kutawala milele yuko wapi?
 
Mkapa alizaliwa November 12, 1938 na akastaafu mwaka 2005 akiwa na miaka 66

Kikwete alizaliwa October 7, 1950 na akastaafu mwaka 2015 akiwa na miaka 65

Magufuli alizaliwa October 29, 1959 na kama asingefariki angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65

Hivyo hata Samia aliyezaliwa January 27, 1960 angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65...zaidi ya hapo atakuwa kikongwe - atapigwa hela na wahuni mpaka basi, atachomekewa vitu kama majina ya teuzi, mikataba, nakadhalika; leo tu akiwa na nguvu kiasi mambo yanamlemea sembuse mwaka 2030 au 2035
Kwanza na hiyo pumu inayomfanya azimie hovyo unafikiri intamfikisha hadi wapi? Wakati wa Magufuli tuliwaulisa kwa afraid ipi Magufuli atatawala milele?
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Cha ajabu ni kipi? Ulikuwa bado unanyonya kipindi Cha mwendazake,chawa wenzio walimwita mhe.Mumgu na wakasema stake asitake lazima agombee
 
Cha ajabu ni kipi? Ulikuwa bado unanyonya kipindi Cha mwendazake,chawa wenzio walimwita mhe.Mumgu na wakasema stake asitake lazima agombee
Ukiacha mapovu ya machadomo na Sukuma gang Samia anastahili kukaa Hadi 2035 kama yule mama wa Ujerumani
 
Ni sawa, tumeambiwa tuende chuo miaka mitatu tupate digri hatujaanza kujiandikisha, sasa wenye nchi wameamua hivyo.
Naunga mkono hoja.

Ukiacha chuki binafsi za machadomo na Sukuma gang ambazo sio big deal ila bila unafiki hakuna Rais wa kabla anaweza mfikia Samia kwenye delivery ya mambo ya uchumi Hadi kijamii.

Kama wenye Nchi mnampima mtu Kwa matokeo basi Samia ndio mtu sahihi ila kama mnataka porojo na blaa blaaa mtambadilisha.
 
Ikiwa atafanikisha Katiba mpya inawezekana.

Ili akikengeuka njiani anafungwa JELA kabisa.
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Huyu nae aache kuropoka! Halafu kama hajui kauli kama hizi zinamharibia mama badala ya kumjenga! Ni hujuma kwa mama!!
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Eti hadi 2035,..huyo sophia amelewa mataptap. Katika nafadi yake hatakiwi kufanya kejeri kama mjinga. Ina maana hata katiba hajui? Watu hawana hamu ya kuongozwa na huyo mtu aliyeruhusu watumishi wa umma wale hongo halafu unasema aongoze hadi 2035? Aache kudharau wananchi mpuuzi huyo.
 
Alafu unakuta kwenu wanalala kwenye nyumba za tembe/ maisha magumu!
Kwetu kulala nyumba za tembe ni kazi ya Rais kutujengea? Ungeuliza kwenu Kuna maji,Afya,Elimu,Barabara,kazi nk

Acha ujinga ndugu,bila chuki Samia ndio ameonesha utofauti mkubwa sana kulinganisha na watangulizi.Unataka ushahidi nikupe?
 
Hata mimi najua hivyo, sbb urais ni miaka 10, awamu hii haikuwa ya Samia, ilikuwa ya JPM, ila akachukua madaraka sbb ya kufariki kwa JPM, awamu rasmi ya Urais itaanza 2025 na hapo itaenda 10 yrs up to 2035, nadhani hakuna tatizo hapo
 
Akasome Katiba tena; wanagesubiri JPM amalize miaka miwili ndipo pumzi ikatike, ni kweli anegifikisha 35 lakini iliwahi sana.

Kumbu huyu naye ni dokta kipepe asiyejua kusoma katiba?

View attachment 2777295
Ni lini mmewahi kuheshimu katiba? Acheni unafiki.... hata mikutano ilikua ni haki ya kikatiba ila JPM aliifuta ndio sembuse chaguzi? Akipitisha katiba mpya obvious ataruhusiwa kugombea 2030!! Hiyo ndio ccm, so acheni maigizo ya kwamba katiba huwa mnafuata.
 
Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu, Elimu,
 
Back
Top Bottom