Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,652
- 698,290
Fear of the unknown..! Hawajiamini na wanajua hawaaminikiHabari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Sent using Jamii Forums mobile app