Ngoja tuone hii !!Mkapa alizaliwa November 12, 1938 na akastaafu mwaka 2005 akiwa na miaka 66
Kikwete alizaliwa October 7, 1950 na akastaafu mwaka 2015 akiwa na miaka 65
Magufuli alizaliwa October 29, 1959 na kama asingefariki angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65
Hivyo hata Samia aliyezaliwa January 27, 1960 angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65...zaidi ya hapo atakuwa kikongwe - atapigwa hela na wahuni mpaka basi, atachomekewa vitu kama majina ya teuzi, mikataba, nakadhalika; leo tu akiwa na nguvu kiasi mambo yanamlemea sembuse mwaka 2030 au 2035
Kwakweli 😅Labda wana lao jambo. Maza alishasema Katiba ni kijitabu tu.
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Mungu ni Fundi.Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Ikiwa wana mkataba na Mungu basi sawa.Hiyo ni kwa mujibu wa wana ccm wenyewe
Wote watoto wa mama mmoja.Sophia Mjema ni zaidi ya Ndugai...
Tangu lini wagombea wa ccm uchaguzi wao huamuliwa na kura za wananchi?
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Naunga mkono hoja,hapa alikuwa anamalizia nafasi ya Mwendazake tunaenda na mama Hadi 2035 🔥🔥🔥Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Ni ujinga na uchawa pekeeKatiba hairuhusu hili..Sophia Mjema hajui katiba