Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Yaani ndivyo hivyo....

Mtake msitake....
1. NEC ni CCM
2. Polisi ni CCM
3. JWTZ ni CCM
Hapo ukikosa kuwa raisi itakuwa ni kujitakia na kupenda tu.
Kuna mbunge wa Mtwara wa CCM alisema kwenye mkutano wa kampeni "Unipigie kura usinipigie, nitashinda. Utake usitake" na kweli alishinda kwa 99%.
Ili tuwe na maendeleo inabidi tuwe na
- Katiba mpya, hii itatoa muongozo na kuondoa nguvu ya raisi na viongozi wengine hata kutoshitakiwa. Kwa hawa viongozi wanaowaza chama kishinde kuliko maendeleo ya nchi imesababisha
  • Starlink kutofanyaka kazi Tanzania kwasbabu kuna viongoz kama Nape wanapokea miamala ndiyo maana bando zimekuwa ghari sana. Leo kiongozi anasema km vipi hamia Burundi
  • Unatoa pesa yako kununua huduma fulani kwa paypal ila kuuza huduma na kupokea pesa kwa paypal haiwezekani. Uganda na Kenya wanapokea pesa kutoka paypal. Inasikitisha sana
Umeme wa mgao, afya mbovu na maji ni shida ila viongozi wanafanya lolote ili chama kishinde ila siyo maendeleo ya nchi.
 
Zwazwa wewe...

Mungu anahusika vipi na siasa zetu?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
Matusi ya nini kumbe Joined jf April 2023!

Screenshot_20231010-101906_Chrome.jpg
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Katibu Mwenezi Kilaza tangu chama cha Mapinduzi kianze kushika utamu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ni aibu kuwa na kiongozi kama Mjema katika nafasi nyeti kama hiyo ndani ha Chama.

Nasikitika sana, kadri miaka inavyozidi kusonga ndivyo taifa letu linavyozidi kupoteza watu/viongozi makini. Nikifikiria aina ya viongozi tuliokuwa nao japo hata miaka ya 2005 kurudi nyuma na hawa akina Mjema tulionao leo, kuna siku hili taifa litakosa viongozi.

Kama Mjema ni mtu aliyeaminika na chama, akawa Mkuu wa wilaya hadi katibu wa itikadi na uenezi wa Chama halafu ndio anatapika pumba kama hizi sijui hao ambao hata hawajaaminika kupewa nafasi nyeti wana hali gani.
Wenye Akili huwa wanaogopewa mle ndani !!
Ni lazima wafurushwe !!
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Hutakiwa kupoteza.muda wako kufikiria kauli za watu wenye upungufu wa akili.

Kama kweli Mjema ameyatamka hayo, CCM itakuwa imepewa taarifa rasmi kuwa ina katibu mwenezi punguani mwenye uelewa sifuri wa katiba ya nchi.

CCM wameridhika kuongozwa na mapunguani?
 
Tume nzima ya uchaguzi si ni yao, usalama wa Taifa ni wa kwao, police ni wa kwao, wasimamizi wa vituo ni wa kwao, wachapishaji wa makaratasi wanawachagua wao, mgombea uchaguzi ndiye atakuwa bado ni Rais wa nchi, sasa ukishindwa uchaguzi si utakuwa mtu wa ajabu kabisa.

Sofia ana haki ya kusema hivyo.
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Walianza hivyo wakati wa JPM mwisho ikawa makasiriko kwa mungu kilichotokea ni kukosa wote
 
Back
Top Bottom