Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Punguza uongo. Rais Mkapa ndio Rais pekee aliyedhibiti mfumuko wa Bei kwa miaka kumi. Sio huyu wa kwenu, mafuta tu yanakaribia shilingi elfu nne kwa Lita.
Kwani uchumi ni kudhibiti mfumuko wa bei pekee? Uchumi ni growth rates na uwezo wa kuhudumia jamii.
 
Wewe ndio mjinga, kwenye Nchi hakunaga kutengenezewa maana mahitaji ya wakati ni tofauti na idadi ya watu inaongezeka Kwa hiyo hakuna kitu kama kutengenezewa Kila kitu.

Unazidi kuonesha ujinga wako. Rais kakaa miaka sio zaidi ya mitatu unataka kulinganisha na Marais waliopita?. Waliopigania uhuru, tengeneza mfumo wa nchi, tengeneza miundombinu, TRA, Taasisi, nk. Wewe bisha kisa unalipwa , ila kulinganisha kazi ya Samiah na Marais watano waliopita ni ujinga.
 
Sophia Mjema ni zaidi ya Ndugai...i Mungu alitakiwa mwisho wa Tamko aseme Inshallah
Yeye ni Mungu ? Huyo Sophia Mjema?
Tatizo la chawa wa viongozi hutoa matamko.kama wehu

Mimi nilikuwa mpenzi sana wa MAGUFULI ningetamani atawale.milele hadi basi lakini tamko lolote la chawa wa kiongozi yeyote linataliwa mwisho liishie na neno Inshallah kama anataka atawale miaka kibao au milele

Hayo matamko ya machawa ya kujikomba MAGUFULI akiwepo ohh atatawala milele ,Samia akiwepo ohh atatawala milele au hadi 2035

Hiyo michawa ndumila kuwili kusifia viongozi viongozi waliopo madarakani wawe makini nayo akiondoka huyu inahamia kwa mwingine bila kuweka Inshallah utafikiri yenyewe ndio miungu inayojua hatima ya mtu Mama Samia Mwislamu anajua Inshallah maana yake nini kwenye kumtakia kila la heri mtu kwenye future
 
Unazidi kuonesha ujinga wako. Rais kakaa miaka sio zaidi ya mitatu unataka kulinganisha na Marais waliopita?. Waliopigania uhuru, tengeneza mfumo wa nchi, tengeneza miundombinu, TRA, Taasisi, nk. Wewe bisha kisa unalipwa , ila kulinganisha kazi ya Samiah na Marais watano waliopita ni ujinga.
Yaani kiufupi kawafunika wote.Kinachoongea ni namba zake sio pumba zako.

Unaweza Kaa hata miaka 20 ila kama huna akili hakuna Cha maana utaongeza kwenye Nchi,so usiwe mjinga.
 
Yani wabadilishe katiba kisa hangaya aongeze muda wa kukaa madarakani. Ndio maana tupo kwenye uchumi wa Chini.
Uchumi wa Chini ya wapi? Labda chini ya buttocks zako.

Tanzania Iko Uchumi wa kati na by 2026 tunaingia uchumi wa kati wa Juu.
 
Wewe ndio umeumia Sana.
Mapovu unayotoa baada ya kusikia Samia ataongezewa mda imekuua sana 😁😁
Tuna sababu Bilioni za kumuobgezea mda 👇
20231011_163410.jpg
 
Back
Top Bottom