Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Kwani uchumi ni kudhibiti mfumuko wa bei pekee? Uchumi ni growth rates na uwezo wa kuhudumia jamii.

Usipodhibiti mfumuko wa Bei, basi huwezi kufanya chochote Cha maana kwenye uchumi. Mtu umeingia madarakani umekuta Lita moja ya petroli ni 2300, Leo imepanda mpaka 3500, Ina maana ,kupanda kwa mafuta kutapelekea kupanda kwa gharama za usafirishaji na pia Bei ya bidhaa itapanda. Hivyo ujenzi wa nyumba utakuwa mgumu kuliko miaka miwili iliyopita
 
Usipodhibiti mfumuko wa Bei, basi huwezi kufanya chochote Cha maana kwenye uchumi. Mtu umeingia madarakani umekuta Lita moja ya petroli ni 2300, Leo imepanda mpaka 3500, Ina maana ,kupanda kwa mafuta kutapelekea kupanda kwa gharama za usafirishaji na pia Bei ya bidhaa itapanda. Hivyo ujenzi wa nyumba utakuwa mgumu kuliko miaka miwili iliyopita
Achaga ujinga wewe Babu ,Samia sio level ya nyie nyumbu ,anapiga kote kote 👇

View: https://twitter.com/thebizwiztz/status/1712005254366085245?t=rCM9W1QF1fgAnvtyWZVEgw&s=19
 
kwako sophia mjema sisi hatusumbui mtu atawale mda mrefu, ila hatuna shida vyama vya upinzani vitutawale hatutaki kabisa, tunachotaka hiyohiyo ccm itutawale, lakini narudia tena lakini sisi ccm na wananchi wasio kuwa wanachama wa ccm HATUMTAKI MAMA SAMIA AENDELEE.si rais wakuchukuwa maamuzi ni bora aondoke tumechooka nae
 
Back
Top Bottom